We mama utakuwa garasa halafu mashauzi kama yote
jikubali tu usijipe usivyonavyo
jikubali tu usijipe usivyonavyo
Wewe sio wote na mmkome mnawatakaga hao halafu mnaishia kubaya kabisa yaone mkishindwa jamani nimetapeliwa nimehivi vile komeni .
Na wengine yanawaoa hawajui kupika wala kutunza mume wao ni cmu nakujiremba wewe umepauka kama nini mtakoma.
Kaeni na shida zenu.
Msituletee wengine tunaohata sisi presha na stress zetu sio zenu kila mara hili lile kwaajili ya warembo ai .


