Majungu na fitina dhidi ya Waziri wa Nishati nani yupo nyuma?

Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Anachapa kazi gani?
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Majungu gani na fitina mzee ? upandacho duniani utalipwa kwa kipimo kile kile jinsi walivyompiga majungu jpm kama kina kigogo 2014,mange kimambi na huyo wanaemwita Tobias marandu malipo ni hapa hapa duniani
 
angalia Mhe. Waziri anavyo pambana kwa ajili ya watanzania.
Muda wote yupo field sio ofisini.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Usilete ujinga kwenye maisha ya wengi.....Ina maana hujui kuwa umeme umeshikilia maisha ya watu?

Hujui kwamba Kuna watu biashara zao zinategemea umeme?

Hujui kuwa huduma hii tunailipia lakini pia Tanesco inaendeshwa kwa Kodi ya walala hoi?

Unafikiri Tanesco ni ya ukoo wa waziri tuhudumiwe wanavyojisikia?

Kwanini waziri aingie ndio choko zianze?

Unafikiri watanzania ni wajinga hawaoni upumbavu unaoendelea?
Mpuuzi kabisa wewe.
 
Usilete ujinga kwenye maisha ya wengi.....Ina maana hujui kuwa umeme umeshikilia maisha ya watu?

Hujui kwamba Kuna watu biashara zao zinategemea umeme?

Hujui kuwa huduma hii tunailipia lakini pia Tanesco inaendeshwa kwa Kodi ya walala hoi?

Unafikiri Tanesco ni ya ukoo wa waziri tuhudumiwe wanavyojisikia?

Kwanini waziri aingie ndio choko zianze?

Unafikiri watanzania ni wajinga hawaoni upumbavu unaoendelea?
Mpuuzi kabisa wewe.
punguza chuki mkuu.
waziri anafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha kero zote zinaondoka.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Bwana Makamba tumekusikia
hatutaki mgao
 
Bwana Makamba tumekusikia
hatutaki mgao
hakuna yeyote anaye penda mgao.
Jitihada anazo zifanya Waziri na Serikali kwa ujumla ni kuhakikisha nchi yetu inakuwa na nishati ya kutosha na ya uhakika lkn pia gharama itapungua sana.
hapo sasa uchumi wa nchi utapaa zaidi.
tuzidi kumuombea Mungu.
 
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?

Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.

Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.

January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.

Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Anafanya kazi nzuri, kukata umeme bila maelezo, kuongea bila vitendo, kutoa takwimu za mafuta bila kuwa na vielelezo, safi sana
 
Back
Top Bottom