Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Kapimwe mkojoTunamuomba Rais wetu Samia kamwe asikubali kuyumbishwa wala kubabishwa na makelele ya VYURA.
Kapimwe mkojoTunamuomba Rais wetu Samia kamwe asikubali kuyumbishwa wala kubabishwa na makelele ya VYURA.
Wewe ni hawara yake??, Mbona unamkingia kifua ili hali ni kweli ameshindwa kabisa kuisimamia wizara hiyo?!!.Watu km wewe ndio mnasababisha nchi hii isipige hatua za kimaendeleo.Kwa kweli yatawashinda mahasidi wote wanaomsakama Januari!
Watatahayari!
Sawa
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Kazi ya kubeba mabegi ya watu ndiyo unaiita kazi! Kinachofuatia ni wewe kuanza biashara ya 0714We endelea kuperemba na kusugua mikalio yako huku watui tunachapa kazi.
Kama maji kwa matumizi ya nyumbani mnapata kwa mgao kwasababu ya ukame,na umeme unategemea maji,hivi mnataka waziri umeme autoe wapi?Kazi gani wakati umeme hakuna??
Ingependeza km ungeoridhesha hayo majungu na fitna zinapigwa juu yake ungeonekana wa maana kidogo, ila sasa we ulichoandika ndo majunguKuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Acha wivu😂😂😂Makamba hana adabu fullstop.
Ilete tuifumue na kuiadabisha hiyo biashara yako, wajuba tupo.Kazi ya kubeba mabegi ya watu ndiyo unaiita kazi! Kinachofuatia ni wewe kuanza biashara ya 0714
THE GANG,ANAKATA MIRIJA YA WATU.Kuna majungu na fitina yanapikwa dhidi ya Waziri wa Nishati mhe. January Makamba, nauliza nani au kikundi gani kipo ktk kupanga majungu hayo dhidi ya Makamba?
Hoja zinazo tolewa dhidi ya Makamaba ni za kipuuzi na zilizo jaa chuki dhidi ya Makamba binafsi.
Hii tabia ya watanzania kufitiniana na kupigana majungu kwa chuki binafsi itatuchelewesha sana.
tuache wivu wa usio na maana.
January tunamuomba aendelee kupiga kazi achane kabisa na kelele za vyura.
Tunamuomba Mhe. Rais kamwe asikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mawaziri waaminifu na wachapa kazi.
Wewe ni hawara yake??, Mbona unamkingia kifua ili hali ni kweli ameshindwa kabisa kuisimamia wizara hiyo?!!.Watu km wewe ndio mnasababisha nchi hii isipige hatua za kimaendeleo.