Napendekeza ustawi wa jamii wajikite kutoa elimu na majukumu ya ndoa kuliko kufuatilia wanaume wanaoterekeza wanawake na watoto wakati chanzo ya kuterekeza wanawake na watoto ni kutokuwa na elimu ya ndoa.
Ukifuatilia ustawi wa jamii wakihojiwa na kutoa elimu wamejikita sana kwenye matokeo (out put) kuliko kujikita kwenye vyanzo vya matatizo kama haya.
Ni mwanaume gani asiyependa kula chakula cha mkewe ,asiyependa kufuliwa, anayependa nyumba liwe chafu. Elimu ya mashuleni tu haifundishi mtoto kuwa na elimu ya ndoa.
Ndio maana vijana wanawachezea lkn wanawaacha wanaoa wengine,mke/mpezi wako akijua majukumu yake kindoa ni rahisi kumsaidia kazi,ata akipika vibaya unajua tu ni bahati mbaya,
Hawa ma slay queen mm nawaona wachafu ,mwanamke umepaka make up hadi kujua bara analotoka mpaka umulize tena,kucha sasa hadi kero.kikubwa ustawi wa jamii wajikite kutoa elimu ya ndoa sio haki sawa.
Sent using
Jamii Forums mobile app