Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,501
- 12,160
Ukiachana na chakula cha Usiku na kuzaa watoto(majaliwa ya Muumba).
Majukumu ya mke ni yapi, maana naona madada wa siku hizi hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.
Huyu dada juzi tu alitamba katembea na mume wa mtu hadi kasimamishwa kazi.
Sasa kahamia Instagram live akisisitiza bado mahari yake ni milioni 500.
Ila hajui kupika zaidi ya wali kwenye "rice cooker"
Yeye Ni kuagiza vyakula tu
Hawezi kwenda sokoni
Usafi hawezi
Kufua hawezi
Kama ni papuchi, wanaume tunapata bure bila ndoa.
Yeye anadhani wanawake wenzake waliolewa nafanya vitu gani huko kwenye ndoa?!
Kama madada wengi wana fikra kama za huyu ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu.
Wanapenda harusi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majukumu ya mke ni yapi, maana naona madada wa siku hizi hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.
Huyu dada juzi tu alitamba katembea na mume wa mtu hadi kasimamishwa kazi.
Sasa kahamia Instagram live akisisitiza bado mahari yake ni milioni 500.
Ila hajui kupika zaidi ya wali kwenye "rice cooker"
Yeye Ni kuagiza vyakula tu
Hawezi kwenda sokoni
Usafi hawezi
Kufua hawezi
Kama ni papuchi, wanaume tunapata bure bila ndoa.
Yeye anadhani wanawake wenzake waliolewa nafanya vitu gani huko kwenye ndoa?!
Kama madada wengi wana fikra kama za huyu ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu.
Wanapenda harusi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app