Majukumu ya mwanamke kwenye ndoa ni yapi?

Jiulize kukutana na wangapi?
Na wangapi waliahidi kumuoa?
Matokeo yake yalikuwaje?

Kuna watu wa kutumiwa na kuachwa tu, hadi akili zitakapomkaa sawa!

Kuna watu shetani anaendele kufunga ufahamu wao bila wao kujijua.
Kama nani kwa mfano.
Umuharibu mke wako mikono kisa kufua naunahela ya mashine halafu akikomaa mikono nakuzeeka unamtafuta kimada/mchepuko kitifu tifu wewe ndio umefungwa akili na shetani na sijui kama wanaume wote wanajua maana ya ndoa mke ndio anatakiwa apendeze ang'aree awe tifu tifu sio umuchakaze.
Unmtambulisha mke kama kibibi kizeee ndio maana wake wasasa wao nikukupuliwa kupapetiwa nawatu huko njee
 
Naona elimu ya ndoa itolewe na taasisi za dini, kila mtu na imani yake kwa vijana hasa, mfano kwa katoliki muda wa mafundisho ya ndoa ni miezi 3 hadi sita, mimi naona huo muda hautoshi. Wasisubiri hadi mtu atangaze ndoa ndio afundishwe, iwe kama miaka 5 hivi kwa yeyote anayehitaji, mtu ajiandae kwa miaka 5.

Aysee miaka 5 imekua MD mkuu..!
 
Nilimuangalia anavyoongea nikagundua bila shaka atakua ni mwanamke mchafu sana ni wale wanawake hata kutandika kitanda hawawez ila kujiremba ndo kitu wanaweza

Sent using GunTrigger
Humo humo, kuna wanawake ambao wao usafi ni kuoga na kuvaa jeans mpya na nguo kali ila mazingira anayoishi ukifika unaweza ukajuta.

Nyumba ina mavumbi kila mahali aisee yani uchafu to the Max!
 
Ukiachana na chakula cha Usiku na kuzaa watoto(majaliwa ya Muumba).

Majukumu ya mke ni yapi, maana naona madada wa siku hizi hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.

Huyu dada juzi tu alitamba katembea na mume wa mtu hadi kasimamishwa kazi.

Sasa kahamia Instagram live akisisitiza bado mahari yake ni milioni 500.

Ila hajui kupika zaidi ya wali kwenye "rice cooker"
Yeye Ni kuagiza vyakula tu
Hawezi kwenda sokoni
Usafi hawezi
Kufua hawezi

Kama ni papuchi, wanaume tunapata bure bila ndoa.

Yeye anadhani wanawake wenzake waliolewa nafanya vitu gani huko kwenye ndoa?!

Kama madada wengi wana fikra kama za huyu ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu.

Wanapenda harusi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wanawake ukimwangalia tu unajua kuwa hawezi kufanya chochote zaidi ya kukupa stress na magonjwa.

The same applies to Diva.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiachana na chakula cha Usiku na kuzaa watoto(majaliwa ya Muumba).

Majukumu ya mke ni yapi, maana naona madada wa siku hizi hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.

Huyu dada juzi tu alitamba katembea na mume wa mtu hadi kasimamishwa kazi.

Sasa kahamia Instagram live akisisitiza bado mahari yake ni milioni 500.

Ila hajui kupika zaidi ya wali kwenye "rice cooker"
Yeye Ni kuagiza vyakula tu
Hawezi kwenda sokoni
Usafi hawezi
Kufua hawezi

Kama ni papuchi, wanaume tunapata bure bila ndoa.

Yeye anadhani wanawake wenzake waliolewa nafanya vitu gani huko kwenye ndoa?!

Kama madada wengi wana fikra kama za huyu ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu.

Wanapenda harusi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzaa na kuplay kama mama, yani mama wa watoto wenu na mama wa familia nzima kiujumla, hii inamaana yeye ndo anatakiwa awe mwalimu wako nawa watoto wako. Sasa kuwa makini ukipata mwalimu. Mbaya utoa matokeo mabaya pia
 
Kama nani kwa mfano.
Umuharibu mke wako mikono kisa kufua naunahela ya mashine halafu akikomaa mikono nakuzeeka unamtafuta kimada/mchepuko kitifu tifu wewe ndio umefungwa akili na shetani na sijui kama wanaume wote wanajua maana ya ndoa mke ndio anatakiwa apendeze ang'aree awe tifu tifu sio umuchakaze.
Unmtambulisha mke kama kibibi kizeee ndio maana wake wasasa wao nikukupuliwa kupapetiwa nawatu huko njee
Asante sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napendekeza ustawi wa jamii wajikite kutoa elimu na majukumu ya ndoa kuliko kufuatilia wanaume wanaoterekeza wanawake na watoto wakati chanzo ya kuterekeza wanawake na watoto ni kutokuwa na elimu ya ndoa.

Ukifuatilia ustawi wa jamii wakihojiwa na kutoa elimu wamejikita sana kwenye matokeo (out put) kuliko kujikita kwenye vyanzo vya matatizo kama haya.

Ni mwanaume gani asiyependa kula chakula cha mkewe ,asiyependa kufuliwa, anayependa nyumba liwe chafu. Elimu ya mashuleni tu haifundishi mtoto kuwa na elimu ya ndoa.
Ndio maana vijana wanawachezea lkn wanawaacha wanaoa wengine,mke/mpezi wako akijua majukumu yake kindoa ni rahisi kumsaidia kazi,ata akipika vibaya unajua tu ni bahati mbaya,

Hawa ma slay queen mm nawaona wachafu ,mwanamke umepaka make up hadi kujua bara analotoka mpaka umulize tena,kucha sasa hadi kero.kikubwa ustawi wa jamii wajikite kutoa elimu ya ndoa sio haki sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
unaota ndoto za alinacha........hakuna demu atakayewasikiliza hawa watu
 
Mkuu naomba nikuulize baadhi ya maswali Kama hutojali
Karibu Mkuu.

Hivi ni ipi nafasi ya mwanamke kwa mwanaume?
Nitajibu kwa kuchukulia muktadha wa ndoa. Kwa kifupi kabisa, nafasi ya mwanamke ni kumkamilisha mwanaume.

Hii ni kwa kumsaidia:
• Ushauri sahihi katika mambo mbalimbali hasa yanayohusu familia
• Malezi ya familia na watoto
• Kumpa faraja, kumuunga mkono na kumtia moyo katika mambo na hali zote
• Kukaribisha na kuwakarimu wageni wote
• Kumrekebisha, kwa kutumia busara na upendo wa hali ya juu, pale anapokosea
• Kuwa chanzo cha furaha na amani, n.k.

Bottom line: wajibu wa kwanza wa mwanamke (primary responsibility) ni kumtii mumewe katika mambo mema yote yampendezayo Mungu.

Na Ni ipi nafasi ya Roho mtakatifu kwa mwanaume?
Nafasi ya Roho Mtakatifu kwa wanadamu wote, akiwemo mwanaume, ni kutufariji na kutuongoza kupitia mapaji yake saba: elimu, hekima, akili, nguvu, ibada, shauri na uchaji wa Mungu.

Roho Mtakatifu anatusaidia na kutuonesha njia zitupasazo kuzifuata na kuziishi ili kumpendeza Mungu na kuendelea kuwa watoto waaminifu wa Mungu.

Roho Mtakatifu anatufundisha na kutushauri tuweze kutawala mazingira yetu na kufanikiwa bila kuharibu utaratibu aliotuwekea Mwenyezi Mungu wa kuendelea kuifanya dunia mahali pema na salama pa kuishi; sisi na viumbe wengine.

Wote ni wasaidizi Ila ningependa kujua tofauti zao.
Utofauti wao ni:

• Wakati mwanaume anamsaidia mwanamke na mwanamke anamsaidia mwanaume; Roho Mtakatifu anawasaidia wote, mwanaume na mwanamke.

• Mwanamke anamsaidia mwanaume kimwili (physically) zaidi wakati Roho Mtakatifu anatusaidia sote kiroho.

• Mwanamke anamsaidia mwanaume kwa msaada wa Roho Mtakatifu wakati Roho Mtakatifu mwenyewe (bila msaada wa yeyote) anamsaidia mwanaume na mwanamke.

Tofauti kubwa kuliko zote: mwanamke ni mwanadamu na anaweza kuwa na mapungufu yake hasa katika kutimiza nafasi yake kama mke; wakati Roho Mtakatifu ni Mungu na amekamilika, hana mapungufu.

Wasalaam.
 
Kama nani kwa mfano.
Umuharibu mke wako mikono kisa kufua naunahela ya mashine halafu akikomaa mikono nakuzeeka unamtafuta kimada/mchepuko kitifu tifu wewe ndio umefungwa akili na shetani na sijui kama wanaume wote wanajua maana ya ndoa mke ndio anatakiwa apendeze ang'aree awe tifu tifu sio umuchakaze.
Unmtambulisha mke kama kibibi kizeee ndio maana wake wasasa wao nikukupuliwa kupapetiwa nawatu huko njee
Hilo la mashine ya kufulia ni kweli, kwa vijana wa kisasa washing machine Ni muhimu, mimi ninayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu Mkuu.


Nitajibu kwa kuchukulia muktadha wa ndoa. Kwa kifupi kabisa, nafasi ya mwanamke ni kumkamilisha mwanaume.

Hii ni kwa kumsaidia:
• Ushauri sahihi katika mambo mbalimbali hasa yanayohusu familia
• Malezi ya familia na watoto
• Kumpa faraja, kumuunga mkono na kumtia moyo katika mambo na hali zote
• Kukaribisha na kuwakarimu wageni wote
• Kumrekebisha, kwa kutumia busara na upendo wa hali ya juu, pale anapokosea
• Kuwa chanzo cha furaha na amani, n.k.

Bottom line: wajibu wa kwanza wa mwanamke (primary responsibility) ni kumtii mumewe katika mambo mema yote yampendezayo Mungu.


Nafasi ya Roho Mtakatifu kwa wanadamu wote, akiwemo mwanaume, ni kutufariji na kutuongoza kupitia mapaji yake saba: elimu, hekima, akili, nguvu, ibada, shauri na uchaji wa Mungu.

Roho Mtakatifu anatusaidia na kutuonesha njia zitupasazo kuzifuata na kuziishi ili kumpendeza Mungu na kuendelea kuwa watoto waaminifu wa Mungu.

Roho Mtakatifu anatufundisha na kutushauri tuweze kutawala mazingira yetu na kufanikiwa bila kuharibu utaratibu aliotuwekea Mwenyezi Mungu wa kuendelea kuifanya dunia mahali pema na salama pa kuishi; sisi na viumbe wengine.


Utofauti wao ni:

• Wakati mwanaume anamsaidia mwanamke na mwanamke anamsaidia mwanaume; Roho Mtakatifu anawasaidia wote, mwanaume na mwanamke.

• Mwanamke anamsaidia mwanaume kimwili (physically) zaidi wakati Roho Mtakatifu anatusaidia sote kiroho.

• Mwanamke anamsaidia mwanaume kwa msaada wa Roho Mtakatifu wakati Roho Mtakatifu mwenyewe (bila msaada wa yeyote) anamsaidia mwanaume na mwanamke.

Tofauti kubwa kuliko zote: mwanamke ni mwanadamu na anaweza kuwa na mapungufu yake hasa katika kutimiza nafasi yake kama mke; wakati Roho Mtakatifu ni Mungu na amekamilika, hana mapungufu.

Wasalaam.
Akhsante mkuu..
Nitakuja Tena na maswali,usinichoke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom