Kama nani kwa mfano.Jiulize kukutana na wangapi?
Na wangapi waliahidi kumuoa?
Matokeo yake yalikuwaje?
Kuna watu wa kutumiwa na kuachwa tu, hadi akili zitakapomkaa sawa!
Kuna watu shetani anaendele kufunga ufahamu wao bila wao kujijua.
Umuharibu mke wako mikono kisa kufua naunahela ya mashine halafu akikomaa mikono nakuzeeka unamtafuta kimada/mchepuko kitifu tifu wewe ndio umefungwa akili na shetani na sijui kama wanaume wote wanajua maana ya ndoa mke ndio anatakiwa apendeze ang'aree awe tifu tifu sio umuchakaze.
Unmtambulisha mke kama kibibi kizeee ndio maana wake wasasa wao nikukupuliwa kupapetiwa nawatu huko njee