Majukumu ya First Lady ni yapi?

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Naomba wanaojua wanisaidie majibu ya maswali haya:

1) First lady anatambulika kisheria (cum KIKATIBA)?

2) Ni zipi kazi mahususi za first lady?

3) First lady analipwa? Na kama ndio malipo yake yanatokana na kasma ipi kibajeti.
 
Hatambuliki kwenye katiba. Hakuna cheo hicho kabisa. Ni heshima tu anapewa kama mke wa raisi
 
Kazi yake ni kubwa sana, fikiria stress zote anazokuwa nazo mkulu yeye ndiyo kama net. Baada ya kusikiliza SHILAWADU na kusoma shombo za JF na kikao cha mawaziri bila kusahau kutumbua majipu.
 
Kazi yake ni kubwa sana, fikiria stress zote anazokuwa nazo mkulu yeye ndiyo kama net. Baada ya kusikiliza SHILAWADU na kusoma shombo za JF na kikao cha mawaziri bila kusahau kutumbua majipu.
ha ha ha! et shilawadu! we kiboko nimekupenda kwa uchochezi huu!
 
Na raisi akiwa mwanamke mumewe abaitwaje?
Anaitwa "first man"
Usishangae maana nimetoka tuition kwa ras lion na kanifundisha kuwa mbuzi kile anaitwa "she goat" na mbuzi Duke/beberu anaitwa "he goat".

Hivyo kama mwana mke ni first Lady basi mwanamme ni first man.
 
jukumu lake ni kumshauri nani atumbuliwe na kipindi gani kisifiwee shilawadu au 360 ndo kazi yakeee
 
Back
Top Bottom