ErlangB
Member
- Feb 25, 2021
- 82
- 79
Which engineering profession that guy have??Uongo mwingine uache,, dodoma na merelani ndo project zilizompa vyeo mbuge, na kama hujui the guy is brilliant engineer the army have, alitoka kuwa mkuu wa jkt ruvu, akaenda kusimamia ukuta merelani akanda cheo,, akapewa project ya dodoma akapanda vyeo,,for tangu operation merelani amekuwa akijihusisha zaid na ujenzi na sio uongozi,
Na kwa taarifa yako sio yeye anayehusika na kupandisha vyeo, acha kuongea upuuzi wako
Alikuwa mkuu wa JKT kwa kupendekezwa na mabeyo and no one else,,
Akiwa jkt kazi yake ni kusimamia kambi zote za jkt na ufanisi wake,, amefanya kazi bomba sana tangu akiwa msimamiz wa mafunzo ya jkt
Cjui unaongea bang gani