Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 334
Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.
Hongera kwake kwa uteuzi!!
Hongera kwake kwa uteuzi!!