mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
mkuu kufanya hivyo ni kuonyesha heshima na utii kwa mamlaka tu wala si kingine.kuna walakini mkubwa katika suala la kuwapigia salute wana siasa,huwa wanapenda sana kwa sababu za kujikweza lakini huwa hakuna uhalisia,hebu chukulia mkuu wa majashi ni nani halafu tulinganishe
MKUU WA MAJESHI:- CDF
Majukumu ya Msingi ya JWTZ
• Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
• Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
• Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.
• Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.
• Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa.
• Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
• Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
Dhima ya JWTZ
Kulinda nchi na kutetea maslahi ya Taifa la Tanzania, kutoa msaada kwa Mamlaka za kiraia na kuwezesha kufikiwa kwa malengo ya Kitaifa na Kimataifa.
The TPDF is a unified force consisting of the Army or infantry brigades, Air Force, Navy, and National Service. The army does not operate in its command, but consists of infantry brigades directly under the command of the Chief of Defense Forces (CDF).
Higher Defense Organization
The Commander in Chief (C in C)
The Constitution of the United Republic of Tanzania, empowers the President of the United Republic of Tanzania to be the Commander of the Armed Forces. As the Commander in Chief he is empowered to declare war and commit the Defense Forces or part of it to active operations in or outside Tanzania.
The National Defense and Security Council (NDSC)
The NDSC is the highest decision-making authority in defense and security matters. It formulates defense and security strategies to meet the objectives of national defense. It comprises the President of the United Republic, the President of the Revolutionary Government of Zanzibar, ministers responsible for defense and security, and the chiefs of the defense and security organs.
The Ministry of Defense
The Tanzanian Ministry of Defense is designed to support Tanzania’s foreign policy and security policy objectives. It guides the contributions of the Defense Forces to meet defense and security goals, and shapes their structure and capabilities. The Ministry of Defense has the responsibility to ensure consistency in training and maintaining the Armed Forces in accordance with the defense doctrine.
The Defense Forces Committee (DFC)
According to the National Defense Act of 1966, the DFC is a committee at the Ministry of Defense level responsible for policy review and formulation on all matters relating to the administration and running of the TPDF. It consists of the Minister of Defense, the Chief of Defense Forces, the Permanent Secretary, the Chief of Personnel, and any other officer who may be appointed by the Minister of Defense.
SEHEMU YA KWANZA: KUHUSU MKUU WA MKOA
- Ni sehemu ya Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
- Ofisi za Mkuu wa Mkoa zitakuwa kwenye Makao Makuu ya Mkoa husika
- Mkuu wa Mkoa atawajibika chini ya Waziri wa TAMISEMI
2. DHIMA YA KAZI HII
Kuhakikisha kuwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii yanapatikana kutokana na huduma bora za ushauri na uratibu ambazo zinajenga mazingira bora kwa Serikali za Mitaa na wadau kutoa huduma inayotarajiwa.
3. MAJUKUMU NA KAZI ZA MKUU WA MKOA
- Kuhakikisha uwepo wa Haki na Sheria kk mkoa
- Kuongoza na kusimamia operesheni za Maafa na Kufariji
- Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa(RCC), Mkuu wa Mkoa atawajibika kufanya jitihada za kuhakikisha kutimizwa kwa sera za serikali juu ya Mkoa husika.
- Kufanya yale yote yatakayosaidia kuimarisha ulinzi na usalama wa mkoa kwa ushirikiano na serikali za mitaa.
4. ELIMU
Mkuu wa Mkoa itampasa awe na Elimu Ngazi ya Shahada(Degree) au inayoshabihiana na hiyo kutoka kwenye Taasisi ya Elimu inayotambulika.
5. UELEWA
Mkuu wa Mkoa atapaswa awe ni mwenye ufahamu kuhusu Utawala wa Sheria, Utawala bora, Kanuni za Haki Asilia (Natural Justice), Sera na taratibu zake, Uongozi na Utawala pamoja na masuala yote ya msingi ktk utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo.
6. UJUZI
Kimsingi Mkuu wa Mkoa anapaswa kuwa na stadi zote za uongozi;
Ujuzi wa kujenga umoja, ujuzi wa kutatua changamoto, ujuzi wa kutoa ushauri nasaha, ujuzi wa maridhiano, ujuzi wa kuhimili msongo/mihemuko, sambamba na ujuzi kuhusu mahusiano ya umma na uwezo wa kuzungumza vizuri mbele za watu.
7. SIFA BINAFSI
Aonyeshe uwezo wa kutunza siri, kufanya maamuzi yenye tija, kufanya kazi pasipo mashinikizo, uelewa kuhusu mwenendo wa siasa na tamaduni za jamii, awe na heshima, mbunifu, mtenda haki, bila kusahau kuheshimu miiko ya kazi.
8. UZOEFU
Ni lazima Mkuu wa Mkoa awe ni mtu mwenye uzoefu kuhusu masuala ya utawala/siasa usiopungua Miaka 10.
9. MSHAHARA
Mkuu wa Mkoa atalipwa kiwango cha mshahara kwa taratibu zilizoainishwa na Ofisi ya Utumishi (kwa sasa salary scale yake ni LSS(P) 4).
TOFAUTI ILIYOPO ni kubwa mno ni mbingu na ardhi sababu inayo daiwa kuwa wakuu wa mikoa ni wawakilishi wa raisi katika maeneo yao sawa lakini kiutawala na majukumu wako chini ya idara zingine za serikali.
Mkuu wa mkoa = mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa
Mkuu wa majeshi= mjumbe wa baraza la usalama la taifa ambalo ni
Rais wa JMT na SMZ mawazili wa ulinzi na wakuu wa vyombo vya usalama.
Mkisema wilaya hapo ndio nachanganya oil na maji kabisa.
tukianza kupima kipi ni kipi tutajikuta tunajadili ni jinsi gani haifai cdf kupiga salute kwa rais.