kwi kwi kwi........rais beautiful!!!.........wabongo watu wa ajabu sana wanachagua suraRIP mzee Natepe.
Katusalimie Mwalimu Nyerere mwambie tumeona cha moto kwa kufuata uzuri wa sura, ni afadhali tungekwenda kunywa nae chai tukamalizana, kuposa isingewezekana.