Majoja JF-Expert Member Jun 10, 2011 612 186 Jun 10, 2011 #1 Hodini wataalam,nnekuja na mie kunusanusa na kupata na kushiriki khabari moto moto. Nnesikia JF mtandawo kiboko kwa habari,maoni nk Bandugu nakaribia
Hodini wataalam,nnekuja na mie kunusanusa na kupata na kushiriki khabari moto moto. Nnesikia JF mtandawo kiboko kwa habari,maoni nk Bandugu nakaribia
Lole Gwakisa JF-Expert Member Nov 5, 2008 4,728 2,259 Jun 11, 2011 #5 Kwetu Majoja ni manyoya ya kuku. Karibu hata hivyo ndani ya jf
Majoja JF-Expert Member Jun 10, 2011 612 186 Jun 11, 2011 Thread starter #6 Asanteni sana ndugu zangu, mnisahihishe popote nitakapokosea
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,078 Jun 13, 2011 #9 JF kua a GT inatakiwa ulete miguu yako yoote hapa! Acha mambo ya kunusa nusa then utafaidi... Hata hivyo karibu saana.
JF kua a GT inatakiwa ulete miguu yako yoote hapa! Acha mambo ya kunusa nusa then utafaidi... Hata hivyo karibu saana.
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Jun 13, 2011 #10 Vipi umenusa kunanuka au kunanukia? Karibu.
Majoja JF-Expert Member Jun 10, 2011 612 186 Jun 13, 2011 Thread starter #13 Ashadii said: JF kua a GT inatakiwa ulete miguu yako yoote hapa! Acha mambo ya kunusa nusa then utafaidi... Hata hivyo karibu saana. Click to expand... Yaani, we acha tu Sijanusa nimekula kabisa , na niliweka tatizo langu posti fulani na kweli nimefaidika na wana JF.
Ashadii said: JF kua a GT inatakiwa ulete miguu yako yoote hapa! Acha mambo ya kunusa nusa then utafaidi... Hata hivyo karibu saana. Click to expand... Yaani, we acha tu Sijanusa nimekula kabisa , na niliweka tatizo langu posti fulani na kweli nimefaidika na wana JF.
Majoja JF-Expert Member Jun 10, 2011 612 186 Jun 13, 2011 Thread starter #14 Husninyo said: Vipi umenusa kunanuka au kunanukia? Karibu. Click to expand... Mashallah manukato huku!
Husninyo said: Vipi umenusa kunanuka au kunanukia? Karibu. Click to expand... Mashallah manukato huku!