Majina ya walioitwa kazini na Wizara ya Afya kwa walioomba kazi 2023

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
1687948887080.png

1687948972757-png.2671690
Wizara ya Afya inapenda kuwataarifu waombaji wa ajira za kada za afya zilizotangazwa kwenye Tovuti ya Wizara ajira.moh.go.tz tarehe 21 Aprili, 2023 na kufungwa tarehe 04 Mei, 2023 kwamba taratibu za kuchambua maombi ya kazi zimekamilika.

Waombaji wote waliofaulu na ambao majina yao yameorodheshwa kwenye tangazo hili wanatakiwa kuripoti Ofisi za Wizara katika Ukumbi wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga Mirembe kuanzia tarehe 30 Juni, 2023 hadi 13 Julai, 2023 ili kukamilisha taratibu za ajira.

1687949142838.png

1687949176952.png

1687949207744.png

1687949233725.png

1687949266186.png

1687949405445.png

1687949487256.png

1687949518041.png

1687949623357.png

1687949653012.png
 

Attachments

  • 1687948972757.png
    1687948972757.png
    42.7 KB · Views: 66
  • ajira 1.pdf
    552.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom