BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Waombaji wote waliofaulu na ambao majina yao yameorodheshwa kwenye tangazo hili wanatakiwa kuripoti Ofisi za Wizara katika Ukumbi wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga Mirembe kuanzia tarehe 30 Juni, 2023 hadi 13 Julai, 2023 ili kukamilisha taratibu za ajira.