Majina ya Timu za Taifa Afrika

Majina ya Timu za Taifa Afrika

Kilimanjaro heroes liliwafaa sana hawa makubwa jinga
 
Bmependa hayo majina ya lugha asili za wazawa wa hayo mataifa. Sio kiingereza na kifaransa kuwatukuza wazungu tu
 
Mzee wangu Kichuguu i have much respect to you. Una heshima kubwa hapa jf. Ni m1 wa senior member hapa jukwaani. Mada kama hizi kwako hazikufai. Maana kuna hatari kubwa ya kuvunjiwa heshima.
Sie tunaokujua kupitia hii jf tunakujua kwa mada zako zenye hoja na zilizoshiba elimu.
Jukwaa hili limejaa wehu. Kwa heshima yako uliyojijengea, kwa maoni yangu hapa hapakufai. Labda kama utapita kuchangia nyuzi za watu wengine.
 
Mzee wangu Kichuguu i have much respect to you. Una heshima kubwa hapa jf. Ni m1 wa senior member hapa jukwaani. Mada kama hizi kwako hazikufai. Maana kuna hatari kubwa ya kuvunjiwa heshima.
Sie tunaokujua kupitia hii jf tunakujua kwa mada zako zenye hoja na zilizoshiba elimu.
Jukwaa hili limejaa wehu. Kwa heshima yako uliyojijengea, kwa maoni yangu hapa hapakufai. Labda kama utapita kuchangia nyuzi za watu wengine.
Kwa nini umeidharau mada hii; huoni umuhimu wake kwenye jukwaa la michezo? Si siasa au filisofi bali ni habari za michezo.
 
Mzee wangu Kichuguu i have much respect to you. Una heshima kubwa hapa jf. Ni m1 wa senior member hapa jukwaani. Mada kama hizi kwako hazikufai. Maana kuna hatari kubwa ya kuvunjiwa heshima.
Sie tunaokujua kupitia hii jf tunakujua kwa mada zako zenye hoja na zilizoshiba elimu.
Jukwaa hili limejaa wehu. Kwa heshima yako uliyojijengea, kwa maoni yangu hapa hapakufai. Labda kama utapita kuchangia nyuzi za watu wengine.
Acha kumfundisha mzee nidhamu ya woga
 
Tanzania hapo ndo nin ety nyota ya taifa na wakat hyo neno nyota limetumika kwa wingi yani stars na wew unasema ety nyota ya taifa badala ya kusema nyota za taifa au nimekosea mim amby sifaham?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom