Majina ya mitaa ya zanzibar kunani?

Midavudavu

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
287
59
Ninavyojua mimi baadhi ya majina ya sehemu mbalimbali yana maana na eneo husika. Je vipi kuhusu majina haya ya baadhi ya mitaa ya Zanzibar?
1. Mchambawima....hapo zamani kuna watu walikuwa wanachamba wima?
2. Mfereji maringo.....eneo lenyewe halina mfereji, mfereji huo maringo ni wa kufikirika?
3. Kibanda maiti....kulikuwa na kibanda kilikuwa na maiti eneo hilo?
4. Jambiani....vipi huko palitokea nini hadi paitwe hivyo?
 
jumbi
kisauni,
mangapwani
kandwi
bambi
bwimbwini<--kwa wachawi
mwera
kijichi
pongwe
kizimkazi
kwa mchina
hurumzi<--kwa wajanja
mtoni<--kwa seif
kwa najim
chukwani
maungani
fumba
chuini
mzalendo
kwerekwe
amani
kwa pweza
muaritani
ng'ambo
kariakoo
matemwe
kiwengwa
dunga
uroa
nungwi
mfenesini
kazole
kitope
dole
ndijani
mkokotoni
du nimechoka next nitaandika namba za magari ya kukufikisha huko unapotokea
darajani<--daladala stand
 
jumbi
kisauni,
mangapwani
kandwi
bambi
bwimbwini<--kwa wachawi
mwera
kijichi
pongwe
kizimkazi
kwa mchina
hurumzi<--kwa wajanja
mtoni<--kwa seif
kwa najim
chukwani
maungani
fumba
chuini
mzalendo
kwerekwe
amani
kwa pweza
muaritani
ng'ambo
kariakoo
matemwe
kiwengwa
dunga
uroa
nungwi
mfenesini
kazole
kitope
dole
ndijani
mkokotoni
du nimechoka next nitaandika namba za magari ya kukufikisha huko unapotokea
darajani<--daladala stand

Ingia Stone Town kenye zile kona, utafikiri kila nyumba ni mtaa.
Kw kuongezea tu
Bububu
Kiwengwa,
Miembeni,
Mkunazini
kinazini,
Fuoni,
Mwanyanya
 
Mara kijito upele, Mashine ya Maji, Gaza, Kwa Ndundu, Kwarara, Jia la uzi, Jaani, Nyarugusu, Saateni,Masingini, Vuga
 
Back
Top Bottom