Alafu Ana mashauzi utafikiri Ana miliki duniahalivutia kutokana na mchanganyiko wa hayo majina
Alafu Ana mashauzi utafikiri Ana miliki duniahalivutia kutokana na mchanganyiko wa hayo majina
Tamalisa upooooo? mbona umeadimika sana cku izah ha ha aha h ha Tamalisa
umesahau yule anaejisema hapendi kuombwa namba name watu wa low class??halivutia kutokana na mchanganyiko wa hayo majina
Nyota yangu kama ya mzee wangu Lowassa jirani,ona popoma @cleverbright keshaanza kulia lia....
masai dada...naona umejuja kivingine...Heri ya mwaka mpya
Ayiiiii........mbona hujawahi kuniambia..........
Halafu ujue nilishakusahau?Unasifiwa kila mahali halafu hutoi hata kazawadi ka mwaka mpya jamani?????
Hahahaha wivu mbaya sana.Nyota yangu kama ya mzee wangu Lowassa jirani,ona popoma @cleverbright keshaanza kulia lia....