majina ya bar/pub

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,928
lete majina ya bar au pub yachekeshayo
njia ya tandale kuna shikamoo bar imepakana na marahaba bar , mburahati kuna simba kapakatwa pub! lete
 
KWA DC BAR iko Mianzini Arusha,huduma zote zipo ukianzia banana,mbege,gongo,kimorali,k'njaro white wine,cha R Chuga.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom