A
Anonymous
Guest
Sinza palestina mtaa wa mpangala -bar inaitwa mwanzo pub ipo katikati ya makazi ya watu inapiga mziki mpaka asubuhi
Anadai yeye ni kigogo vituo vya polisi vya jirani urafiki na mabatini wanambeba sababu mmiliki ni askari aliyefukuzwa kazi
Ameripotiwa serikali za mtaa husika lakini hakuna matokeo chanya sababu wanasema ni kipindi cha uchaguzi wanaogopa kukosa kura wanasema ndio muongozo waliopewa
Tunaomba mamlaka husika za NEmc ziangalie suala hili
Maana ni noise pollution na inatukosesha amani wananchi wa mtaa huu
Hata leo hii mpaka saa saba za usiku tuma maafisa husika utakuta mziki unarindima mtaa mzima
Raia Mwema
Anadai yeye ni kigogo vituo vya polisi vya jirani urafiki na mabatini wanambeba sababu mmiliki ni askari aliyefukuzwa kazi
Ameripotiwa serikali za mtaa husika lakini hakuna matokeo chanya sababu wanasema ni kipindi cha uchaguzi wanaogopa kukosa kura wanasema ndio muongozo waliopewa
Tunaomba mamlaka husika za NEmc ziangalie suala hili
Maana ni noise pollution na inatukosesha amani wananchi wa mtaa huu
Hata leo hii mpaka saa saba za usiku tuma maafisa husika utakuta mziki unarindima mtaa mzima
Raia Mwema