Kuna bar moja ya gongo ipo mitaa ya daraja mbili arusha inaitwa NTOKE VIPI.
Saa ya kuingia ni easy coz mnywaji huwa na kiu so hajali sana ila wakati wa kutoka ni tatizo coz mlango uko barabarani kabisa kuonekana ni rahisi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.