nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,253
Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!
hapana na hatuna majeshi somalia
hapana unakosea ukisema hivo.. je unajua wakimbizi wakiingia tanzania gharama zitaongezeka, ujambazi utaongezeka sababu silaha ndogondogo zitapenya... TANZANIA ITASAIDIA PALE ITAKAPOONA INAWEZA
Nimeandika haraka natumia simu hope umenielewa
kuna universal set na sub set mkuu.
Afrika ni universal set, Tanzania ni subset. ukiifia Afrika au UN kwa vyovyote vile unakuwa umeifia Tanzania. twende sawa mkuu.
Hayo maneno uliyoandika hapo chini ni upumbavu na kukosa akili kuliko pitiliza.
Rest in peace askari wetu. Mmekufa kishujaa
Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!
Ni wanajeshi wa umoja wa mataifa waliotokea Tanzania?
Mkuu hebu rudisha akili, kama angekuwa ni ndugu yako amekuachia mzigo wa kulea yatima kwa sababu ya kulinda amani ya UN halafu jiulize UN ni nini kwako personally.
Majina ya askari saba wa Tanzania waliokufa kwenye shambulio la ghafla mjini Darfur yamepatikana.
Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
1. Sajenti Shaibu Othuman,
2. Koplo Oswald Chaula,
3. Koplo Mohamed Juma,
4. Koplo Mohamed Chikilizo,
5. Pte. Rodney Ndunguru,
6. Pte. Peter Werema,
7. Pte. Fortunatus Msofe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.
Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.
Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.
Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.
Hivi mkuu wameifia Tanzania ama Sudan?Naomba kueleweshwa kwenye hili.Kuuliza si ujinga mkuu wangu.
Kamanda we dizaini mbishi eeh?
kwanza kuna msiba hapa tuwape POLE wanafamilia na wanajeshi wenzao.Hili la UISLAMU na Ukristo au Upagani wa wanajeshi ni akili ndogo kuwaza hivyo sasa. SAINT IVUGA Kwa nini uanzishe mjadala huo sasa?WEWE AKILI YAKO NA MIKONO YA KUANDIKA HAVIWASILIANI?
vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!
sio ubishi, ndio ukweli huo. Tatizo hatutaki kuambiwa ukweli na kuufanyia kazi. Fikiria nchi zilizopata uhuru kupitia tz, halafu tathmini walipofikia. Kuna maslahi gani huko ya tanzania kama tanzania ?