subiri nikuelimishe bwana mdogo.
(1) unapozungumzia swala la jeshi kwenda kulinda amani maana yake ni kwamba hili eneo au hapo mahali pana machafuko ya vita, kwa hiyo ni lazima jeshi lipelekwe kwenda kutuliza hayo machafuko ya kivita....
(2) pia, kutokana na mahali hapo kuwa na vita ndio maana wanajeshi wanatakiwa wabebe silaha, tena nzito za kivita kwa ajili ya kuakikisha hilo eneo linakua na amani...
(3) hizo silaha wanazobeba sio urembo, ni silaha wananzotakiwa kuzitumia pindi adui anapokua anataka kuleta za kuleta....
(4) kwa hilo, huko somalia ni vitani na wanajeshi wetu wapo vitani... Hilo unatakiwa ufahamu...
Sasa swali la kujiuliza, jeshi letu limeenda vitani kwa manufaa ya nani hasa, un?? Kwa taarifa yako hizo vita za namna hiyo zinaigharimu sana taifa letu, kuanzania human capital, financing, equipment etc...
Pia, inakupasa utambua hatuna sababu ya msingi ya kupigana vita sasa... Je, tumepakana na somalia? Wacha kila mtu atatue matatizo yake na sio kujifanya kimbelembele...