Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

Inawezekana lakini kwa uhakika ni Somalia, yeye Rwanda ana vikosi vingi huko.
Kwa sasa hiii ni biashara na UN hawa Peacekeeper wanalipwa in Doller na Serikali pia wanavuna

Rwanda ana majeshi Durfur na yamekuwepo huko kwa muda mrefu na bado wapo tena wengi tu. Somali ulikosema sidhani kama wapo.
 
so sad msofe nilisoma nae o level kati ya 2003 -2006
 
Hayo maneno uliyoandika hapo chini ni upumbavu na kukosa akili kuliko pitiliza.
Rest in peace askari wetu. Mmekufa kishujaa

HAKUNA UPUMBAVU WOWOTE KTK HAYO,LABDA WEWE NDO ZEZETA AMBAYE UNAAMINISHWA KILAKITU KINACHOFANYWA NA WAKUBWA KUWA NI SAHIHI,fuatilia yanayoendelea MTWARA,matendo yanayofanywa na askari kwa raia wenzetu hayana ubinadamu kabisa na matendo kama hayo yanapunguza kama si kuondoa mapenzi tulokuwa nayo dhidi yao,USHUJAA KWA KUPIGA NA KUBAKA WANANCHI WENZETU NA KUTISHA VYOMBO VYA HABARI VISIRIPOTI?ikumbukwe tulimshinda Amini kwa sababu ya ushirikiano na mapendano mazuri baina ya raia na askari.TUHESHIMIANE ILI TUHESHIMU.
 
attachment.php


Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!

mkuu coment lako la kijinga koma kabisa.
 
daaaah!
poleni sana wafiwa. Mungu awapumzishe kwa amani.

haya yaskie kwa jiran tuuu uyajadili hapa ila naamini lingemgusa mmoja kati ya mnaobishana hapa mngeelewa zaid.
 
Subiri nikuelimishe bwana mdogo.

wacha mimi nikuelimishe weye


(1) Unapozungumzia swala la jeshi kwenda kulinda amani maana yake ni kwamba hili eneo au hapo mahali pana machafuko ya vita, kwa hiyo ni LAZIMA jeshi lipelekwe kwenda kutuliza hayo machafuko ya kivita....

sio lazima kuwe na machafuko amani ndio ilindwe.... wanajeshi wetu walikuwa ni walinda amani....

Peacekeeping is through establishing the peacekeeping for in an area to simply deter through presence anything that might threaten the peace... just a show of protection along with humanitarian efforts to keep the populace content.

bolded ndio kazi walio kwenda kufanya kule


(2) Pia, kutokana na mahali hapo kuwa na vita ndio maana wanajeshi wanatakiwa wabebe silaha, tena nzito za kivita kwa ajili ya kuakikisha hilo eneo linakua na amani...

(3) Hizo silaha wanazobeba sio UREMBO, ni silaha wananzotakiwa kuzitumia pindi adui anapokua anataka kuleta za kuleta....
hapa unazungumzia Peace Enforcement ..Peace Enforcement is actually getting in the middle and using military force creating peace through harsh military action against anyone who threatens the other side. Its a stronger guns blazing approach of if you don't stay peaceful we'll blast you to pieces.

Peace enforcement is also likelier on the attacking side while peace keeping likelier on the defender side. Attacker is seen as the bad people while defenders just trying to live.

kazi hii tulishawahi kuifanya visiwa vya comoro ile ilikuwa PEACE ENFORCEMENT ... SUDANI TULIKUWA PEACE KEEPERS NIKIWA NA MAANA TUNAWEZA HATA TUKAPISHANA NA REBALS KAMA HAWATO WACHOKOZA HAWANA HAKI YA KUSHAMBULIA..

SILAHA WALIZOBEBA NI KUJIHAMI KWA HILO....

PEACE KEEPERS REBALS WANAPOPIGANA NA SERIKALI HAWATAKIWI KUINGILIA KAZI YAO NI KULINDA HAKI ZA BINAADAMU TU ... THEY ARE NOT ALLOWED KUCHUKUWA SIDE YA MTU YOYOTE HIYO NDIO ILIKUWA KAZI YA WANAJESHI WETU SUDAN ... HAWAKWENDA KUPIGANA KAMA UNAVYODHANI WEYE


(4) Kwa hilo, huko somalia ni vitani na wanajeshi wetu wapo vitani... Hilo unatakiwa ufahamu...


TANZANIA HATUNA MAJESHI SOMALIA... SOMALIA KUNA MAJESHI YA UGANDA NA KENYA ETCL...


Sasa swali la kujiuliza, Jeshi letu limeenda vitani kwa manufaa ya nani hasa, UN??


kwa manufaa ya kulinda haki za binaadamu sudan , kwani serikali inapopigana na rebals anayeumia ni mwananchi ni jukumu la umoja wa taifa kuhakikisha haki za huyu mwananchi zinalindwa maeneo kama hayo.. ikiwepo kuzuia ubakaji etcl

Kwa taarifa yako hizo vita za namna hiyo zinaigharimu sana taifa letu, kuanzania Human Capital, Financing, Equipment etc...


ni kweli VITA ina gharama na ni za serkali Na ni kubwa sana na kuyumbisha uchumi nakumbuka vita ya kagera lakini zoezi la peace keeping gharama ni za UN ... HATUKWENDA SUDAN KUPIGANA SO HAKUNA GHARAMA YOYOTE .. KAMA ILIKUWEPO BASI UMOJA WA MATAIFA WANAFIDIA


Pia, inakupasa utambua hatuna sababu ya msingi ya kupigana vita sasa... Wacha kila mtu atatue matatizo yake na sio kujifanya kimbelembele...


Hatujapigana vita yoyote ... tulikwenda kama peace keepers

hebu jifunze tofauti kati ya
Peacekeeping na Peace Enforcement unaweza ukatumia google

Je, tumepakana na Somalia?



hapana na hatuna majeshi somalia


Wacha kila mtu atatue matatizo yake na sio kujifanya kimbelembele...


hapana unakosea ukisema hivo.. je unajua wakimbizi wakiingia tanzania gharama zitaongezeka, ujambazi utaongezeka sababu silaha ndogondogo zitapenya... TANZANIA ITASAIDIA PALE ITAKAPOONA INAWEZA

Nimeandika haraka natumia simu hope umenielewa

 
Sitaki kujua kiwango cha Intelijensia iliyotumika, ila napenda kuongea tu kuwa Operation ya Uokozi huwa inahitaji kiwango cha juu sana cha Intelijensia kisicho na mashaka....hata kwenye kombolela kabla ya kwenda kubutua kopo ili kuokoa wenzako, ilikuwa inachukua muda ukiwa umejificha ukimuangalia mlinzi wa kopo huku ukisoma nyendo zake wenzako wakiwa wamekaa wakisubiri mwokozi.
 
hivi watanzania ndio tumekua wakatili kiasi hichi watu wamekufa wengine wanafurahi tena wanapenda wengi wangeuawawa tu mi nadhani turudi nyuma tumwambie mungu atusamee kwani ni dhairi Kwa sasa kama adui atatuvamia lazima atashinda kwasababu atuna umoja RIP MAKAMANDA.
 
Mkuu mbona unajibu kwa haraka haraka hivyo?si tunaeleweshana mkuu?

Ninavyoelewa hao ni mchango wa Tanzania UN,kwahiyo mission yao inaratibiwa na UN.

Sisi kama Tanzania hatuna mission ya kusapoti upande wowote huko Darfur Sudan.

Labda tuseme wameifia freedom and justice,lakini si Tanzania,unless uniambie walikuwa wakiipigania Tanzania,mipaka yake ama interests zake.

Na ndiyo maana wengine tunataka kuona wanafamilia wao wanakuwa taken care of kwasababu nasikia kuna malipo ambayo wakubwa wanayakinga.

ndiyo, mkuu wangu.

lakini najuwa unajuwa kama ndani ya UN na Tanzania imo.

kuhusu malipo, sifahamu vuzuri, japo nafaham nchi yetu inaogozwa na wachakachuaji.
 
usitafsiri vitu directly mkuu.

Kumbe nini maana ya kuifia nchi ? Labda kama ingesemwa kuifia Afrika au dunia, maana wametumwa kwa ajili ya kuweka amani katika Bara la Afrika kwa ujumla na sio sio kuifia Tanzania. Ni kweli kwamba ni wanajeshi wa Tanzania, laikini hawako huko kwa maslahi binafisi ya Tanzania, bali ya Afrika na dunia nzima kwa ujumla.
 
Swali: Ni nchi ipi kati ya Tz na Sudan inayostahili kutembelewa na viongozi wakubwa kama kina Obama ili kuhakikisha utawala bora na amani ya dunia?????
Kwanini isiwe ni askari wa S. Africa au Wamarekani ndio wanatumia teknolojia jao kupambana na hao waasi????
Mbona sisi tuna-kiherehere kiasi hiki na uduni wa Majeshi yetu?
Ah! unaudhi bhaana ,,, yaani watu kadhaa wanajiridhisha tuu wao wanawatoa watoto wa wazazi wengine kwenda kuuawa na Waislamu wa msimamo mkali.
 
familia zao mungu azipe faraja kwa mda wote wa hapa duniani.
 
Mungu azilaze roho za marehemu pale zinapostahili.
 
Kumbe nini maana ya kuifia nchi ? Labda kama ingesemwa kuifia Afrika au dunia, maana wametumwa kwa ajili ya kuweka amani katika Bara la Afrika kwa ujumla na sio sio kuifia Tanzania. Ni kweli kwamba ni wanajeshi wa Tanzania, laikini hawako huko kwa maslahi binafisi ya Tanzania, bali ya Afrika na dunia nzima kwa ujumla.

kuna universal set na sub set mkuu.

Afrika ni universal set, Tanzania ni subset. ukiifia Afrika au UN kwa vyovyote vile unakuwa umeifia Tanzania. twende sawa mkuu.
 
attachment.php


Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!

Labda na hawa walikosa IMANI ya WASI kama askazi wetu watakapokosa imani ya WANANCHI na KUUAWA kwa kufanya kazi ya POLISI huko NTWARA badala ya kulinda mipaka yetu
 
Back
Top Bottom