Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 798
sad news!
hivi tunafaidika nini na Durfur?!!!
hivi tunafaidika nini na Durfur?!!!
Una uhakika gani kwamba walikuwa hawafungi.. ?? How shamefull we will look infront of ALLAH For judging people of the sins which he had already forgiven them for
This is a sad news; nawapa pole familia za marehemu wote, JWTZ na Watanzania wenzangu kwa pigo hili. Moyo wangu ulishtuka kwani nina dadangu ambaye yuko huko kwa kazi hii. Mungu azilaze pema roho za marehemu na kuwafariji familia.
Ni mapema kufikiria hivyo.
Msamehe ni lugha tu hapo, mambo mengine ni training issues tuHivi mkuu wameifia Tanzania ama Sudan?Naomba kueleweshwa kwenye hili.Kuuliza si ujinga mkuu wangu.
Naomba niulize, hivi majeshi ya Rwanda ynayo apo pale Darfur???
kwani kufunga kuna uhusiano gani na kusamehewa dhambi?
kuna msemo wa kiswahili usemao, "pilipili usioila inakuwashia nini?"... Hii vita ya somalia inamanufaa gani kwetu sisi mpaka tujipeleke na kuishia kuuliwa kama kuku? Ni kipi hasa tunachokitafuta huko, sifa?
Kinachotupasa ni kulinda mipaka yetu basi.... Haya mambo mengine ya kutafuta sifa hayafai....
una uhakika gani kuwa walikuwa wanapigani a haki usawa na amani? kwani si juzi tu tumesikia rais akitaka nchi wahusika zifabye mazungumzo? una fikiri kama ni wanyang'anyi wanaweza mazungumzo?Sio sahihi kusema wameifia tanzania. Sema wamefia haki, usawa na amani. Kupata justification ya kusema wameifia tanzania kwangu ni ngumu.
hatuna jeshi somalia...
Tanzania kama member wa un , lazima ajitolee na yeye kulinda amani...
Wanajeshi hawakwenda kupigana , walipelekwa kulinda amani ....
Jamani natumaini kunawatu kutoka Juu, kunaswala la mausiano yetu na nchi majirani na zinazooonyesha chuki juu yetu. isije kuwa ni intelligent setup iliyofanya na maadui zetu kutuonyesha kwamba wanaweza kufya chochote wakitakacho. tufanye uchunguzi wa kina kwa Vijana wetu. Mungu alaze rohoo za marehemu mhala pema peponi.