Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

Poleni sana makamanda na mashujaa wanaifia nchi yao kwa kulinda amani!
 
Nasikitika nahao waislam mauti yamewakuta katika mwezi mtukufu Wa ramadhani walitakiwa wafanye ibada

Una uhakika gani kwamba walikuwa hawafungi.. ?? How shamefull we will look infront of ALLAH For judging people of the sins which he had already forgiven them for
 
Kuna kaka yangu alienda DARFUR na Amerudi na hela chin ya million tano!


Hakuna kitu Mimi ninadhani zinatafunwa na akina shimbo wapya, ifike mahala tujue mikataba hiyo na faida zake!


jana nilisikikiza ile famous speech ya kagame alisema at hit us na tutapigwa bila KUJUA nani katupiga, anatamba kuwa whether by land, air we shall never cross the line when we get into the target!!!!!???

let us think twice badala ya kutumia GPA ZA below 2.7 na tamaa ZA utajiri wao


Mkuu kama unayo tunaomba utu-uploadie na sisi hapa jamvini kama inawezekana.
 
Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!

Ulichokiandika hapa siyo mahali pake nafikiri ungesubiri kutoa machungu yako kwa sasa tuungane na ndugu na jamaa kwa ajili ya kuwaombea hawa hata wewe kuna mabaya unayoyafanya. Hawa walienda kuwakilisha taifa na wala hawakutumwa na wanasiasa. SIYO KILA KITU SIASA NDUGU
 
RIP Makamanda wa vita. Poleni familia. Poleni Taifa
 
Ni jambo baya lakini hali ya mtwara inanifanya nisione uchungu sana.au ndio kagame kaanza.
 
Kuna ushahidi gani uliotumika kueleza jinsi walivyoshambuliwa..? au kuna walionusurika kufa...?
R.I.P our beloved Tanzanians.

itakuwa kunawaliosevu ndio maana wakasema hivyo pole sana kwa familia zao..
 
Mh! Inasikitisha na pia ni fundisho kwetu kuiogopa vita na kuachana na njia zozote za uvunjivu wa amani ili yasijetokea huku nyumbani
 
kama Vipi warudi tu nyumbani, haiwezekani wao washambuliwe halafu wazuiwe kujibu mapigo.!!!!!

Kuna rules a engagement, na wao wanazifahamu vizuri sana kwa maana wanapewa darasa kabla ya kukabidhiwa lindo, risk inafahamika vizuri na Tz kama nchi imekubaliana nazo ndy maana imekubali kupeleka jeshi kuwasaidia ndugu zetu wa sudani. sasa kukiwa na casualties tusianze kulaumu na kusema jeshi letu lirejee, tuwape moyo na kuwaombea waliobaki!
 
Kwa mujibu wa channel 10 wamekufa JWTZ 6 na Polisi 1.
 
Nasikitika nahao waislam mauti yamewakuta katika mwezi mtukufu Wa ramadhani walitakiwa wafanye ibada

kupigania Haki ya Kuishi, kutobakwa na Amani kwa Watu wa Dafour inayoporwa na Jajaweed nayo ni Ibada Mkuu wa Kazi!
 
Tanzania ina wajibika kuona dunia ni mahali salama pa kuishi kwa nadharia na kwa vitendo. Ni wanajeshi wa TANZANIA. wameifia Tanzania
Sio sahihi kusema wameifia tanzania. Sema wamefia haki, usawa na amani. Kupata justification ya kusema wameifia tanzania kwangu ni ngumu.
 
Back
Top Bottom