Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

Tunataka Tanzania Yetu Irudi, Tanzania yenye uzalendo isiyouza Askari wake Kwa kipande kidogo Cha mkate, Tanzania isiyojadiliana Na wapuuzi wanaosema linda ila wewe usijilinde, Nyerere wapuuzi hao hakuwasikia eti mtoe amini mpakani mwako ila usimuingilie kwake, Nyerere hakuwa Na mjadala Na sheria Za kipuuzi, alimfukuzia mbali Amini si Tz tu hadi huko Uganda. Mshenzi ni mshenzi tu. Leo HII tuna VIONGOZI wanaochekacheka Na visichana tu, enyway hatuoneani gere laleni Na vibint mpendavyo but chapeni Kazi Basi, huu ujinja wa UN mtauendekeza hadi lini. Kwanini kutowasaka hao mabaradhuli Wa Sudan then Sudan become a peace state forever.. Mijitu michache inaongea upuuzi Kwa Jina la teritorial law. Ujingagani Watoto Na Kinamama wanakufa Kwa ushenzi wa watu wachache.... Upuuzi
 
Tunataka Tanzania Yetu Irudi, Tanzania yenye uzalendo isiyouza Askari wake Kwa kipande kidogo Cha mkate, Tanzania isiyojadiliana Na wapuuzi wanaosema linda ila wewe usijilinde, Nyerere wapuuzi hao hakuwasikia eti mtoe amini mpakani mwako ila usimuingilie kwake, Nyerere hakuwa Na mjadala Na sheria Za kipuuzi, alimfukuzia mbali Amini si Tz tu hadi huko Uganda. Mshenzi ni mshenzi tu. Leo HII tuna VIONGOZI wanaochekacheka Na visichana tu, enyway hatuoneani gere laleni Na vibint mpendavyo but chapeni Kazi Basi, huu ujinja wa UN mtauendekeza hadi lini. Kwanini kutowasaka hao mabaradhuli Wa Sudan then Sudan become a peace state forever.. Mijitu michache inaongea upuuzi Kwa Jina la teritorial law. Ujingagani Watoto Na Kinamama wanakufa Kwa ushenzi wa watu wachache.... Upuuzi

Hayo mambo ya Amini unayoyasema ni mengine kabisa, na inaelekea hauyafahamu kwa undani!
 
attachment.php


Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!

Pumba gani hizi, watu wamekufa vitani halafu unaleta siasa zako za mtwara
 
Tunataka Tanzania Yetu Irudi, Tanzania yenye uzalendo isiyouza Askari wake Kwa kipande kidogo Cha mkate, Tanzania isiyojadiliana Na wapuuzi wanaosema linda ila wewe usijilinde, Nyerere wapuuzi hao hakuwasikia eti mtoe amini mpakani mwako ila usimuingilie kwake, Nyerere hakuwa Na mjadala Na sheria Za kipuuzi, alimfukuzia mbali Amini si Tz tu hadi huko Uganda. Mshenzi ni mshenzi tu. Leo HII tuna VIONGOZI wanaochekacheka Na visichana tu, enyway hatuoneani gere laleni Na vibint mpendavyo but chapeni Kazi Basi, huu ujinja wa UN mtauendekeza hadi lini. Kwanini kutowasaka hao mabaradhuli Wa Sudan then Sudan become a peace state forever.. Mijitu michache inaongea upuuzi Kwa Jina la teritorial law. Ujingagani Watoto Na Kinamama wanakufa Kwa ushenzi wa watu wachache.... Upuuzi

Acha pumba.
 
Hayo mambo ya Amini unayoyasema ni mengine kabisa, na inaelekea hauyafahamu kwa undani!
Huyo anayejiita MKWELItu kwa kuandika upuuzi hajui lolote, inaonekana amefurahishwa sana na vifo vya hawa maaskari ili CHADEMA waendeleleze siasa zao za maji taka
 
Majina ya askari saba wa Tanzania waliokufa kwenye shambulio la ghafla mjini Darfur yamepatikana.


2.png

Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
1. Sajenti Shaibu Othuman,
2. Koplo Oswald Chaula,
3. Koplo Mohamed Juma,
4. Koplo Mohamed Chikilizo,
5. Pte. Rodney Ndunguru,
6. Pte. Peter Werema,
7. Pte. Fortunatus Msofe.



Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.

Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.

Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.

Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.

Asante kibanga kwa taarifa inayojitosheleza
 
Inatia uchungu kweli kwa hawa ndugu zetu kupoteza maisha, kinachosikitisha ni pale fedha wanazotakiwa kulipwa wanejeshi hawa viongozi wa juu wanazifanyia ubadhirifu tukumbuke yule kiongozi wa juu wa jeshi mwenye tuhuma za kuhifadhi fedha uswiss na fedha zenyewe ni malipo kwa wanajeshi waliokuwa katika ulinzi wa amani kama hawa ambao leo wamepoteza maisha yao.hii inasikitisha tena saana.

Hapo ndo ninapomchukia zaidi Kj, huyo mwizi kampa ubalozi...
 
Hivi ni lazima kila mahali (Darfur, Lebanon, nk) tupeleke sisi watz majeshi ya kulinda amani? isije kuwa ni kiherehere chetu kuonesha aliye magogoni ni mjeshi. Maana sisikii nchi jirani wakipeleka majeshi hayo. Kuuliza si ujinga jamani....
 
Poleni sana wafiwa wote,
Pole sana Ritz
Mungu awapumzishe mahali pema sana wapiganaji wetu.
 
Last edited by a moderator:
attachment.php


Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!

Mkuu sio muda wa lawama huu wala kuleta itikadi na chuki zako dhidi ya jeshi letu. Walale Pema Peponi.
 
Jamani natumaini kunawatu kutoka Juu, kunaswala la mausiano yetu na nchi majirani na zinazooonyesha chuki juu yetu. isije kuwa ni intelligent setup iliyofanya na maadui zetu kutuonyesha kwamba wanaweza kufya chochote wakitakacho. tufanye uchunguzi wa kina kwa Vijana wetu. Mungu alaze rohoo za marehemu mhala pema peponi.
 
Hivi mkuu wameifia Tanzania ama Sudan?Naomba kueleweshwa kwenye hili.Kuuliza si ujinga mkuu wangu.

Wameifia Tanzania kwasbb ktk umoja wa mataifa kila member ana mchango wake. Hivo Tz huchangia ktk ulinzi wa amani kwa hiyo walikuwa wanaplay part ya Tz ktk umoja wa mataifa. Hivo ni sahihi kusema wameifia Tz.
 
Back
Top Bottom