kwa hiyo bungeni itakuwa! kiranja mkuu, sasa tupate mapumziko kidogo kwa burudani SUGU, ndani humo kuna ujumbe mzito wa harakati, zamani nilisema kila kitu kitakwisha lakini rushwa haitakwisha, nimekuja bungeni kupambana na rushwa, then chorus anaimba Mnyika nchi ina kila kitu tulichokosa umakini wa viongozi tupo hapa kwa ajili hiyo CCM wao wanakata mauno