Elections 2010 Majimbo ambayo yamechukuliwa na upinzani uchaguzi mkuu 2010

31.Dk Harrison Mwakyembe -CCM Masalia
32.Samwel Sitta - CCM Masalia
33.Christopher Ole Sendeka -CCM Massalia
34.Anne Kilango Malechela- CCM Masalia
35.Victor Mwambalaswa: CCM Masalia
36.Godfrey Zambi-CCM Masalia
37.Jenister Mhagama-CCM Masalia
38.Professor Mark Mwandosya
39........
 
Nijuavyo mimi kuna majimbo 52 yamechukuiliwa na upinzani na CCM wamechukua 180. Bado kuna majimbo 7 ambayo Uchaguzi umeahirishwa kutokana na irregularities zilizosababishwa na CCM/NEC. Mbona hii list ni ya majimbo 32 tu ya Wapinzani kivipi?? P'se elaborate.
 
1.Halima James Mdee -Kawe/Chadema
2.Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
3.Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
4.Israel Yohana -Karatu/Chadema
5.John Mnyika -Ubungo/Chadema
6.Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
7.Felix Mkosamali -Muhambwe/NCCR Mageuzi
8.Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
9.Agripina Z. Buyogela -Kasulu Vijijini/NCCR-Mageuzi
10.Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
11.Augustine Lyatonga Mrema-Vunjo/TLP
12.Salum Barwani -Lindi/CUF
13.Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
14.Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
15.Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
16.Machali Moses John-Kasulu Mjini/NCCR Mageuzi
17.Joseph Selasini -Rombo/Chadema
18.Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
19.Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
20.Freeman Mbowe -Hai/Chadema
21.Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
22.Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
23.Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
24.Hayness Samson -Ilemela/Chadema
25.John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
26.Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
27.Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
28. John Cheyo -Bariadi Mashariki/UDP
29. Bungaro Said -Kilwa Kusini/CUF
30. David Kafulila -NCCR Mageuzi

Hongeleni sana Nyinyi ndio tuna waamini kwa asilimia 90% tunataka muka fanye kazi nzito ya kuiendeleza Tanzania ili wakati ujao tuongeze majimbo mengine na tuchukue Uraisi kiulaiiiniiii,,, Kila la gheli wabunge wa Chadema May the lord bless you in the Name of the Father,,,, na hizo asilimia 10 zilizo baki na Wabunge mafisadi waliopita kwa zuluma,,

Hapo kwenye red aliyeshinda ni wa CCM angalia vizuri.
 
Haloo ngoma bado ipo jikoni karibu kuliwa tuna majimbo ambayo lazima tuyashinde na ccm waturudishie bila shaka jimbo la shinyanga mjini, kigoma mjini, kilombero, segerea na kibaha mjini, mbozi mashariki kwa dhambi na mbeya vijijini ccm tutawashinda hata mahakamani jamani wadau tusinyamaze tudai haki yetu pindi chadema wwatakapo enda mahakamani tuwa support kwa mawazo na michango yetu ya kifikira na ki utashi wa kisiasa ambao kupitia utashi wa kisiasa ndipo tunawazidi ccm

mzee gomezi
 
Mmmm ok thatks for the in formation kwakuwa nilikuwa sijajua,,, Vyanzo vyangu vilikosea kunipa valid informations
 
Hongeleni sana Nyinyi ndio tuna waamini kwa asilimia 90% tunataka muka fanye kazi nzito ya kuiendeleza Tanzania ili wakati ujao tuongeze majimbo mengine na tuchukue Uraisi kiulaiiiniiii,,, Kila la gheli wabunge wa Chadema May the lord bless you in the Name of the Father,,,, na hizo asilimia 10 zilizo baki na Wabunge mafisadi waliopita kwa zuluma,,
 
Back
Top Bottom