i am happy koz hata chadema ispochukua urais basi kuna a lot of wabunge wapinzani so the mjengo will be hot
Kwenye nyekundu, are you serious? Unataka kusema kwamba Nchimbi ameanguka? Na vipi kuhusu jimbo la Mbinga kwa Komba wa TOT?
mkuu jitahidi uwe unapata data vizuri, mpanda majimbo yote yameahirishwa ubunge, so hawakupiga kura za ubunge
Habari za kuaminika ni kuwa Nchimbi kaangukia pua huko Songea!!
Kwenye nyekundu, are you serious? Unataka kusema kwamba Nchimbi ameanguka? Na vipi kuhusu jimbo la Mbinga kwa Komba wa TOT?
kwa nini hawatangazi?[font=calibri,sans-serif][font=arial,sans-serif]musoma mjini[/font][font=arial,sans-serif]
kigoma kaskazini[/font][font=arial,sans-serif]
ubungo[/font][font=arial,sans-serif]
moshi mjini[/font][font=arial,sans-serif]
hai[/font][font=arial,sans-serif]
sumbawanga mjini[/font][font=arial,sans-serif]
nkasi kaskazini[/font][font=arial,sans-serif]
kahama[/font][font=arial,sans-serif]
arusha mjini[/font][font=arial,sans-serif]
karatu[/font][font=arial,sans-serif]
kiteto[/font][font=arial,sans-serif]
iringa mjini[/font][font=arial,sans-serif]
mbeya mjini[/font][font=arial,sans-serif]
mbeya vijijini[/font][font=arial,sans-serif]
nyamagana[/font][font=arial,sans-serif]
ilemela[/font][font=arial,sans-serif]
mpanda kati[/font][font=arial,sans-serif]
songea mjini[/font][font=arial,sans-serif]
mbozi mashariki[/font][font=arial,sans-serif]
maswa mashariki[/font][font=arial,sans-serif]
ukonga[/font][font=arial,sans-serif]
kawe[/font][font=arial,sans-serif]
kibaha mjini[/font][font=arial,sans-serif]
arumeru[/font][font=arial,sans-serif]
tarime[/font][font=arial,sans-serif]
serengeti[/font][font=arial,sans-serif]
singida kaskazini[/font][font=arial,sans-serif]
biharamulo[/font][font=arial,sans-serif]
segerea[/font][font=arial,sans-serif]
rombo[/font][font=arial,sans-serif][/font][font=arial,sans-serif]
nb: Kama kuna jimbo nimelisahau naomba mnifahamishe[/font][/font]