Elections 2010 Majimbo ambayo yamechukuliwa na upinzani uchaguzi mkuu 2010

Mbeya hakuna jimbo lililotangaza matokeo, lakini matokeo yasiyyo rasmi Mbeya Mjini inaongoza CHADEMA, Vijijini bado mambo magumu kwa Sambwee na baadhi ya wanachama wanamlaumu kwa kuifanya kampeni ya Mbeya Vijijini kuwa yake binafsi, alijiamini kupita kiasi, Lupa wilayani Chunya CCM ndiyo ilikuwa ikiongoza.

Kunahitajika umakini katika kufuatilia haya matokeo. Majimbo mengi wameahidi kutangaza kuanzia saa 11 jioni leo
 
[FONT=Calibri,sans-serif][FONT=Arial,sans-serif]musoma mjini[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
kigoma kaskazini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
ubungo
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
moshi mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
hai
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
sumbawanga mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
nkasi kaskazini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
kahama
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
arusha mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
karatu
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
kiteto
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
iringa mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
mbeya mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
mbeya vijijini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
nyamagana
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
ilemela
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
mpanda kati
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
songea mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
mbozi mashariki
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
maswa mashariki
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
ukonga
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
kawe
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
kibaha mjini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
arumeru
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
tarime
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
serengeti
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
singida kaskazini
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
biharamulo
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
Segerea
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
Rombo
[/FONT][FONT=Arial,sans-serif][/FONT][FONT=Arial,sans-serif]
NB: Kama kuna jimbo nimelisahau naomba mnifahamishe
[/FONT]
[/FONT]

Wandugu Segerea kuna Makongoro
 
Ccm wamewachezea sana mbeya vijijini - kuna nguzo za umeme kiini macho umalila highlands zilisimikwa na tanesco hazina waya takriban miaka 20 iliyopita. Hadi saa hii hakuna cha mjukuu wa umeme licha ya hiyo milingoti. Sehemu ya mbeya vijijini ndo wanaolisha mbeya hata dar na kuzalisha pareto kwa wingi. Mwanamageuzi aliyeshinda shitambala (chadema) ana uwezo mkubwa wa kuiendeleza sehemu hiyo muhimu mkoani mbeya. Hongera shambwe!!!
 
Tatizo mmeligeuza jamvi kama sehemu ya kupigia porojo zenu zisizo na uhakika!!!! Wengine wanategemea habari kupitia JF, chunguza pls kabla ya kuleta hap.
 
Naskia Mbeya mjini bado wanasua sua kutangaza matokeo rasmi ingawa raia wanasherehekea ushindi wa Sugu.
 
ahhhh.........hii ccm inachanganya sana watz........kwa nini wasitoe mato9keo fasta wakati kila kitu kipo clear?.........wanataka kutuletea mambo ya kenya.zimbabwe?............ccm wamechoka na amani hawataki kuwapa watz wanachotaka..........
 
Wadau naomba tuweke majimbo yote ambayo chadema imeshinda (Ni yale ambayo Nec imethibitisha):-

1. Moshi Mjini
2. Arusha Mjini
3. Meatu
4. Musoma Mjini
5. Iringa Mjini
6. Maswa Mashariki
7. Maswa Magharibi
8. Mbeya Mjini
9. Nyamagana..
 
6. Maswa Mashariki
Chadema 17,075
CCM 17,014
CUF 485
UDP 443

7. Maswa Magharibi
Chadema 17,456
CCM 12, 135
CUF 1,645
UDP 381


Nec imetangaza rasmi sasa
 
Back
Top Bottom