Elections 2010 Majimbo ambayo upinzani umezulumiwa waziwazi

JIWE2

Senior Member
Sep 17, 2010
125
17
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;

1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12.Tarime
13.Arumeru Magharibi
14.Babati vijijini
15.Mvomero
16.Njombe magharibi

Inaendelea,mnakaribishwa kuongezea.....
 

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,485
15,228
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;

1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.

Mnakaribishwa kuongezea.....

Kwa hiyo una maana kuwa kura za hayo majimbo uliyoyataja zingeenda kwa slaa angeshinda? Au unaongelea kura za ubunge?
 

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,729
Kwa hiyo una maana kuwa kura za hayo majimbo uliyoyataja zingeenda kwa slaa angeshinda? Au unaongelea kura za ubunge?
atakuwa anaimanisha Ubunge mfano Shy mjini eti CCM wameshinda kwa kura moja na msimamizi hajulikani alipo mpaka sasa kwani kabla ya kutanga matokeo ya CCM kushinda alisha tangaza kuwa Chadema wameshinda gafla akabadili..
 

JIWE2

Senior Member
Sep 17, 2010
125
17
[wa hiyo una maana kuwa kura za hayo majimbo uliyoyataja zingeenda kwa slaa angeshinda? Au unaongelea kura za ubunge]


Kwenye majimbo hayo nililenga hasa kura za Ubunge. Kwa kawaida kura za Urais na Ubunge haziwezi kutofautiana sana kwenye jimbo moja. Inaelekea National-wise uchakachuaji umefanyika kwa kiasi kikubwa zaidi kwenye kura za Urais.
 

Bantugbro

JF-Expert Member
Feb 22, 2009
4,476
4,242
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;

1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12....

Mnakaribishwa kuongezea.....

Temeke
Babati Vijijini..
 

laplap

Member
Nov 5, 2010
27
0
mijitu mizima haioni aibu kiuba kura

haya majamaa sijui yakojeeee?/ yanaboa kama nini
 

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
577
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;

1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12....

Mnakaribishwa kuongezea.....

songea mjini nayo wamechakachua..
 

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,676
2,189
No comment nahisi ntajishushia credibility manake muendako siko jamani
 

Jemedari

Member
Oct 10, 2010
13
1
Ukiangalia kwa makini, majimbo mengi ambayo chadema wameshinda ilihitajika nguvu kubwa kutoka kwa wananchi kushinikiza matokeo yatolewe hata kukesha watu walikesha. Vp kwenye majimbo ambayo umma haukujitokeza kwa nguvu na idadi kubwa?
 

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Hivi siredo duh mie simo imejaa matusi ya nguoni nimeamiamini kwa nini JK anaomba vyombo vya habari vimsaidie kutibu majeraha kwa ni wazi kwa kunyang'anya haki ya wananchi wengi wana hasira si kifani...
 

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
476
Kuna kajamaa fulani huku kana avatar ya mwanaume aliyevaa kihereni naomba nimtukane jamaniiiiiiiiiiiii Ni KAS**GE fulani hivi. Sijui ni nani anakab**hua humu. @#$@$$^$#$$&^^
 

Nyahende Thomas

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
211
103
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;

1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini
12....

Mnakaribishwa kuongezea.....

Jimbo la mvomero nalo ccm walichakachua ili kumnusuru mshika mikoba wao amos makala. Nimeambiwa chadema walikuwa wameshinda.
 

Ngisibara

JF-Expert Member
Jan 2, 2009
3,174
1,866
ndio wavuta bangi, mtu mwenye akili kama zako utasema nani,si bora hao uliowataja kuliko...Rais Slaa( daktari wa dini), makamu rais mzee said( darasa la saba), waziri mkuu Mbowe (mwehu , mmiliki wa madanguro), SUGU waziri ( mvuta bangi, Chizi, muuza unga), Lema (mwizi, jambazi, haramia, mwehu)

Wengine wakiwashwa basi hutakiwa kukunwa, Mod toa lau saa moja tufungue akiba zetu kibindoni...
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom