- Thread starter
- #41
Naomba turudi kwenye mada.
1.Je ni kweli hayo majimbo yaliyotajwa yana dalili ya kuchakachuliwa?
2.Je kuna majimbo mengine ambayo yana dalili hizo lakini sijayataja? Ongezeni.
3.Je katika majimbo hayo niliyotajwa lipo ambalo CCM imeshinda kwa haki?
4.Nini kifanyike kukomboa majimbo ambayo yamechukuliwa na CCM kwa njia za wizi/udanganyifu?
Nawasilisha.
1.Je ni kweli hayo majimbo yaliyotajwa yana dalili ya kuchakachuliwa?
2.Je kuna majimbo mengine ambayo yana dalili hizo lakini sijayataja? Ongezeni.
3.Je katika majimbo hayo niliyotajwa lipo ambalo CCM imeshinda kwa haki?
4.Nini kifanyike kukomboa majimbo ambayo yamechukuliwa na CCM kwa njia za wizi/udanganyifu?
Nawasilisha.