the reformer
Senior Member
- Dec 15, 2014
- 195
- 68
Ama kweli ZZK anawanyima usingizi
Wasalimie kigoma
Ama kweli ZZK anawanyima usingizi
Ebu angalia kamusi yako maana ya MJINGA, tunajifunza kila siku.
...............................................................................................................................................................................
Nimejikuta nimekumbuka kipande cha hekima za Mwenyekiti wa Kijiji chetu.Japo ni nje ya mada, nisamehe kushare nawe neno la ufahamu
Ndugu Zangu,
KUNA tofauti ya mjinga na mpumbavu. Marehemu Mzee Jongo alipata kutamka; Kusoma sio kuufuta ujinga, bali ni kuupunguza. Kila mwanadamu ana ujinga wa jambo moja au mia moja. Kuwa na ujinga wa jambo si kosa, hata Profesa anaweza asijue namna ya kuchochea kuni za kuchomea hindi bichi likachomeka. Kijana wa darasa la saba anaweza kuwa hodari wa jambo hilo kumshinda Profesa.
Lakini upumbavu ni ile hali ya mwanadamu kufanya jambo isivyotakiwa huku akiwa na uelewa wa namna ya kufanya inavyotakiwa. Huo ndio upumbavu. Na ndio maana binadamu kuitwa mpumbavu ni tusi. Kuitwa mjinga si tusi, kila mmoja ana ujinga wake. Kuwa na ujinga wa jambo fulani ni kutoelewa jambo hilo. Ni nani anayeelewa kila jambo?
Na mwanadamu unafanyaje unapoamka na kukuta dunia unayoishi ardhi yake imeanza kumegeka na kuchotwa na bahari? Kuna niliyemwuliza swali hilo. Naye akanijibu; Huo ndio utakuwa mwisho wa dunia! Aliyenijibu alikuwa amechoka kufikiri. Nilidhani amgetamka, kuwa angeanza kujifunza kuogelea. Maana, kwa kuogelea majini angeweza kukutana na kisiwa, au nchi kavu.
Wanadamu tumejaliwa akili ili tuweze kufikiri. Na kufikiri ndio njia mojawapo ya kuiteka kweli. Kufikiri kunahamisha milima na hata kuiweka kando kuruhusu mwanga upite. Inakuwaje basi mwanadamu anapoacha kufikiri? Na hilo ni Neno La Leo.
Maggid
Iringa,
Jumanne, Machi 22, 2011
http://mjengwa.blogspot.com
hakuna kama ZITTO tz
Nimetambua kitu wanaobattle na ACT zaid ya mamluki wa ccm chadema haina hoja na zitto so stop wasting too much energy on these nonsenses
Naona wewe unatamani kuota mkia wenye usinga ili uwe na uwezo wa kufukuza nzi kama ng'ombe kwa sababu tu unadhani itakuwa ni hatua ya kukuongezea maarifa kama ng'ombe.
Niko nje kabisa ya uwezo mdogo kama huo. Niko kiwango cha kujieleimisha na sistahili kujiita mjinga kama wewe unavyotamani. nahisi ni kweli maana labda lazima uelimishwe na mwingine.
mkuu hapa jukwaani sio pahara pa kupiga porojo, mambo haya ni vema ukawasiliana na mhalili wa TANZANIA DAIMA kesho itakuwa front page.
Tafuta tu uzi huku humu utapata....
Kwan James Mbatia aliacha lini kuwa kibaraka wa CCM?
CUF iliacha lini kuwa CCM B ?
Vipi kuhusu ving'ola na usalama wa Taifa anaotembea nao Maalim Seif, ameporwa hadi leo awe UKAWA??
Jiwe mnalikataa leo, kesho mtaligombania. Mark my Words
subiri uone matusi ya chagadema
ndo mtaji wao, wafanye nini sasa maana front line kuna Lema, Sugu na mchungaji.. hiyo ndo think tank team ya ndugu zetu, mbowe anaikubali hatari.
wewe kweli mwehu..hizi cheap propaganda na character assassination dhidi ya ZZK mnazitunga na kuziamini wenyewe. si yeye wala usalama wa taifa wenye haja ya kuwajibu.
uzuri ni kwamba ,,, hao wote(zzk na TISS)WAMEWAZIDI AKILI KWA UMBALI MREFU SAAANA KIASI CHA KUTOBABAISHWA NA PROPAGANDA ZA KIBANGIBANGI mnazoziendesha. jiulizeni, kwa nini pamoja na kutumia nguvu nyingi,fedha nyngi na muda mwingi lakini bado mmeshindwa kumteteresha!!!?? ni kwa sababu hamna akili, hamna busara, mmejaa usanii,hamna uzalendo na zaidi ni kwamba mnaendesha chama kama kikundi cha wavuta bangi na wahuni.
MNA KILA SABABU YA KUPANICK na siwalaumu ktk hilo
the man zzk is cruising na hamuwezi kumzuia
subiri matokeo ya uchaguzi hapo october ndio mtamsujudu na kumuimba
Kwa hiyo umechapia unadhani walisema hivo kumbe walichosema ni kwamba wataweka wazi hesabu zao za Mapato na Matumizi kwa mwananchi yeyote anayetaka kujua. Uwazi sio ktk mitandao japo binafsi yangu ukiniuliza sioni kabisa sababu ikiwa mahesabu yao hayajapitia ukaguzi wa TRA ktk file Kodi kila mwaka. Yapo mambo ambayo ACT wameyachukua ambayo sioni umuhimu wake wala faida yake isipokuwa ni mchezo wa siasa tu.Tafuta tu uzi huku humu utapata....
Mkuu JokaKuu,
Mie bado ninasubiri vyanzo vya mapato vya ACT wazalendo.. Walituhadi mwenyewe tena kwa mbwembwe kweli kuwa mapato na matumzi yataletwa kila baada ya miezi 3 humu humu Jamii forum..
Cha kusikitisha sasa tunakwenda mwenzi wa 10 hakuna cha mapato na matumizi na tukuulza wanasema tumamuulie Mzee Mtei kule Tengeru..
Yaani huyu kijana ni mjengo hoja kweli kweli, na ni msomi Tanzani nzima hakuna... Ila isije kuwa tumeisha uzwa kwa Andrea Codes (Ujerumani)Maana wanasiasa hawaminiki kama alivyowahi sema wenyewe (Husimwamini wana siasa- by Zitto Kabwe)
Pia tunasubiri kuona mali na madeni ya viongozi wa ACT.. Mwigamba na mama Mwenyekiti Zingatieni katiba ya ACT..
.Aione Mkandara :shocked::shocked: na Kapwela
Mkuu umeisoma hiyo kwa makini au? maana wanazungumzia wao kutoka Bungeni wakati wa Kuapishwa JK.. come on now! tulipinga wengine humu JF kitendo hicho kwa sababu utaratibu upo na unalazimika kuufuata. Mnapopinga matokeo ya NEC ni hatua ya kwanza, kisha kuna mahakama mna kuachia Mahakama itoe maamuzi, nao wakisha amua mshindi nani basi huna jinsi. JK ni mteuliwa tu huwezi kumgomea yeye kuwa badala ya system nzima ilikuwa aibu tupu.
Mara nyingi sana kutomtambua rais ni kutoyatambua matokeo, sasa wanapokwenda Bungeni kama Wabunge walotambua matokeo yao, halafu inapokuja swala la rais unatoka nje. Unafiiri ingekuwaje kama Chadema wangeingia Bungeni CCM waka walk out? kwa sababu hawatambui baadhi ya wabunge wake. Mnaweza sema namtete ZZK lakini kama kweli chama kingeendelea na kutomtambua toka atangazwe na wakaweka mikao mahakamani,watu wakakusanyika kama Misri vile kupinga matokeo ya NEC hapo ningesema kweli Chadema imeiva na inataka mabadiliko. lakini upuuzi ule utanisamehe mkuu hata mimi nisingetoka.
Hii ya Bunge la katiba nisingetoka maana unaawachia nafasi CCM bure kabisa kutengeneza katiba yao kisha unaiita katiba ya Chenge! wewe ulikuwa wapi ilihali umekula hela za wananchi halafu una ujasiri wa kutoka unapopenda kama vile Katiba itatokana na uamuzi wako, tena wmnatumia Uchama kuitana Ntarahamwe yaani Katika ilikuwa ya vyama sio ya wananchi. Sina baya na Chadema lakini wakati mwingine inaonekana kabisa Akili ndogo kuongoza Akili kubwa..