Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,361
Hivi, ni kitu kipi cha ajabu amefanya CoET? Cha kuweza kujivunia, zaidi ya kubatizwa jina handsome boy, kwa kupenda utunda
Aliwapa vijana knowledge kaka
Hivi, ni kitu kipi cha ajabu amefanya CoET? Cha kuweza kujivunia, zaidi ya kubatizwa jina handsome boy, kwa kupenda utunda
Hivi, ni kitu kipi cha ajabu amefanya CoET? Cha kuweza kujivunia, zaidi ya kubatizwa jina handsome boy, kwa kupenda utunda
Unamkubari kwa sababu ujinga ulionao kichwani maana hata mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu akiambiwa ajiteteee atatoa utetez tena pengine wenye maneno matam
Kweli mkuu kwa ujinga wake Yuda Ikariote atadhani amesifiiwa kumbe kashushuliwa na kudharauliwa sana. Prof. Kamashusha kistaarabu hadi atashindwa ajibu vipi zaidi ya makelele yasiyokuwa na maana. Anatakiwa achutame!unamtukana mtu kiproffessor ,wanajua matusi ya kiproffessor tu ndio watagundua wengine wataona kasifiwa
Ajibu na hili
Nacheka sana leo Chadema wote wameamia CCM halafu mnajindanganya UKAWA watachukua nchi.
teh teh teh Tanzania hamna upinzani.
Unamkubari kwa sababu ujinga ulionao kichwani maana hata mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu akiambiwa ajiteteee atatoa utetez tena pengine wenye maneno matam
Unamkubari kwa sababu ujinga ulionao kichwani maana hata mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu akiambiwa ajiteteee atatoa utetez tena pengine wenye maneno matam
Sure mkuu zitto nguvu yake kubwa ni uchawi kwahiyo siyo rahisi kushindana na watu wanaotumia akili kubwa kama huyu mzee,
Kiukweli zitto afanye tu zile kazi za usiku na wachawi wenzake haya mambo ya kutumia akili hovyo kabisa.
Ndugu nilimaanisha -Alichoongea zitto ni sahihBavicha bana wakati mwingine mnachekesha mko tayari kuwatetea MAFISADI ILI TU ZITTO AONEKANE NI WA HOVYO HOVYO au alichokiandika hakina mashiko
Nacheka sana leo Chadema wote wameamia CCM halafu mnajindanganya UKAWA watachukua nchi.
teh teh teh Tanzania hamna upinzani.