Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto

Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto

Si vibaya maswali yakaulizwa na majibu yakatolewa, msiwe watu wakushambulia wauliza maswali bali pimeni umuhimu wa swali na majibu yaliyotolewa.
 
umejibu vizuri kuwa mahakama ndio inajua ufeki au uhalali pia kama mwandosya angeona kakashifiwa angeenda mahakamani kujisafisha

Kwa upande mmoja uko sawa. Lakini kukashifiana kupo sana kwenye maisha yetu. Ni mara ngapi wewe umekashifiwa na ukaenda mahakamani? Kashifa zingine unaweza ukazipuuzia tu.

Lakini kwa upande wa pili, kama risiti hizo zilikuwa halali, si ilikuwa ni jukumu la vyombo vya dola kuzitumia ili kumfungulia kesi? Hata bungeni tu wangeweza kumzulia zali? Au sio?
 
Back
Top Bottom