Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto

Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto

Zitto aliomba majibu kapewa.

Uungwana ni kuwasiliana na aliyetoa majibu one on one na kusafisha hali ya hewa. Then kutolea tamko kama amekubali maelezo au anadhani Prof. amepindisha mambo.

kosa sio kufanya kosaa,bali kulirudia

Pamoja kwenye hili
 
Unamkubari kwa sababu ujinga ulionao kichwani maana hata mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu akiambiwa ajiteteee atatoa utetez tena pengine wenye maneno matam

wewe si timu hilehile anayofanyia kazi zitto, nenda pembeni mkatumike wote.
 
Mwandosya aliingia kwenye siasa mwaka 2000, na akawa waziri wa Mawasiliano na uchukuzi toka mwishoni mwa 2000 mpaka 2005.

ameendesha wizara ya maji kwa ufanisi wa kutukuka alivoumwa ndio ikapewa hawa wababaishaji. jamaa wanasema ni mpiga kazi usiku na mchana ,he is capable
 
Mkitaka kujua undani wa Zitto, waulizeni CDM. Msaliti na msaka tonge full stop. Mwandosya huyo huyo ndio kiasi fulani alimnsuru na hoja za Kibajaji wakati wa mjadala wa ESCROW bungeni. Akalia machozi huku akiunganisha na kifo cha mama yake mzazi. May be Kibajaji had a point lakini tulimpuuza.

Mwisho wa Zitto utakuwa kama wa Lyatonga. Lakini wa kwake utakuja mapema zaidi. Lyatonga anaweza kuwa amefifia kisiasa na jambo la kawaida lakini si rahisi kumtuhumu kuwa corrupt kama inavyotokea kwa Zitto.
Sure mkuu zitto nguvu yake kubwa ni uchawi kwahiyo siyo rahisi kushindana na watu wanaotumia akili kubwa kama huyu mzee,

Kiukweli zitto afanye tu zile kazi za usiku na wachawi wenzake haya mambo ya kutumia akili hovyo kabisa.
 
Fisadi kama mafisadi wengine so asilete porojo hapa. kila anayetuhumiwa kwa ufisadi akipewa nafasi kujieleza hawezi kukosa cha kuongea ndio maana hata akina Lowassa, Change, Muhongo, Tibaijuka wote huwa wanakanusha kuhusika na ufisadi.

Umemsahau zzk
 
zitto hana akili amesumbua ukawa akaona haitoshi sasa anajaribu na ccm lakini ajue baada ya uchanguzi sijui atakuwa chama gani maana hata hiyo ACT yake ccm inaimalizia kabisa.
 
ccm mwandosya na magufuli ndo watu wengine ndorrooobo tu
 
Zitto aliomba majibu kapewa.

Uungwana ni kuwasiliana na aliyetoa majibu one on one na kusafisha hali ya hewa. Then kutolea tamko kama amekubali maelezo au anadhani Prof. amepindisha mambo.

kosa sio kufanya kosaa,bali kulirudia

Lazima alale mbele hapo
 
Mkitaka kujua undani wa Zitto, waulizeni CDM. Msaliti na msaka tonge full stop. Mwandosya huyo huyo ndio kiasi fulani alimnsuru na hoja za Kibajaji wakati wa mjadala wa ESCROW bungeni. Akalia machozi huku akiunganisha na kifo cha mama yake mzazi. May be Kibajaji had a point lakini tulimpuuza.

Mwisho wa Zitto utakuwa kama wa Lyatonga. Lakini wa kwake utakuja mapema zaidi. Lyatonga anaweza kuwa amefifia kisiasa na jambo la kawaida lakini si rahisi kumtuhumu kuwa corrupt kama inavyotokea kwa Zitto.

Upo vizuri sana kiongozi na ukweli huo haupo mbali ingawa dogo ni mbishi sana
 
Mwandosya aliingia kwenye siasa mwaka 2000, na akawa waziri wa Mawasiliano na uchukuzi toka mwishoni mwa 2000 mpaka 2005.
Wakati huo TRC ilikuwa kweli bado inafika Tabora maana nakumbuka ajali kubwa ilitokea Dodoma, reli ikasimama kwa miaka kibao majuzi tu ndio imefufuliwa, na mwaka 2000 ATC tayari ilikwisha binafsishwa au sio?
 
EL pekee alishindwa cha kuongea badala yake akajiuzuru. Majuzi ndo amepata cha kusema bada kubanwa kwenye mlango.

Nimecheka sana Tony Aboat, PM wa Australia aliulizwa swali juu ya wakimbizi ambalo hakutarajia akashindwa kujibu kabisa imebaki kituko kwenye Media.

Fisadi kama mafisadi wengine so asilete porojo hapa. kila anayetuhumiwa kwa ufisadi akipewa nafasi kujieleza hawezi kukosa cha kuongea ndio maana hata akina Lowassa, Change, Muhongo, Tibaijuka wote huwa wanakanusha kuhusika na ufisadi.
 
zito hacha kutumika na wazee ambao kwenye siasa ndo wameishagota wewe bado una muda mwingi wanakualibia kwa tamaa zako za kijinga,
 
Masaa 24 kwa mwanasiasa ni mengi,____Zitto si Zitto tena.

Akili ni nywele, kila mtu ana, zake_____Zitto hana zake pekee, amechukua za akina Laigwanan
 
Zitto hajawahi mshitumu Lowasa.

Na eti yupo tayari Lowassa ajiunge na ACT almradi atangaze mali zake. Tanzania kuna mtu anahakiki mali za watu hasa viongozi? Sheria yenyewe ipo kikanyaboya tu.
 
Back
Top Bottom