- Thread starter
- #21
Zitto aliomba majibu kapewa.
Uungwana ni kuwasiliana na aliyetoa majibu one on one na kusafisha hali ya hewa. Then kutolea tamko kama amekubali maelezo au anadhani Prof. amepindisha mambo.
kosa sio kufanya kosaa,bali kulirudia
Pamoja kwenye hili