The main problem I spot in this Forum, more often than not, is playing politics in almost all aspects and sphere of life.
I have problem to believe the allegation brought forward by CHADEMA Leadership. I think a serious politica party should be focused and have Political Vision for Tanzania, unfortunately all these are missing.
It has become a Political Party of accusations, cheap politics, master of cockamamie and useless propaganda. The question which execise my mind what will happen when Chadema takes over the reign of power for this country, will they overhaul the TPDF, TISS, POLICE, JUDICIARY, Will they be able to do the same to the Parliament?
What kind of discussions will be there in the Bunge if CHADEMA has majority of members of Parliament? Are we going to see the same level of unstructured discussions in the Bunge and some of the utterences, as we witnessed recently? If that will be the case then this country will go to the dogs! Not serious politicians. Some of these people as they say need to shape up or ship out and leave politics to those with that talent!
In Japan, they say always leave the cage door open, so that the bird may return! CHADEMA if it happen in the future to be a ruling party it has to work with Police, TPDF, Judiciary and a Parliament which probably half of its MPs will be from CCM, it has to learn to work withe everyone. Kuwa Upinzani siyo kutukana kila mtu, na kumshambulia kila mtu na kuidharau kila Taasisi. Nchi hii imekuwa salama tangu tupate Uhuru kwasababu wakati wenngine tunalala, TISS, POLICE, MAGEREZA, TPDF wao hawalali, na wameweza kutuepusha na mambo mengi, mengine tumeyasikia, na mengine hayajawahi hata kufika katika masikio na macho ya jamii yetu. Hivyo tusiwakebehi kwakua tunaona tunaamani na tunadhani kuwa inakuja tu hivi hivi, la hasha.
Tuna amani katika nchi hii kwa sababu ya umoja wa kitaifa na misingi ambao wazee na waasisi wa nchi hii waliiweka na watu wa TISS na TPDF, FFU wamekuwa wakifanya kwa uzalendo wa hali ya juu bila aibu, uoga na bila 'upendeleo'
Tanzania ya leo isingekuwana na sura iliyonayo kama siyo kazi ya wazee waliotangulia wa vyombo vya ulinzi na Usalama, hawa wengine wanajulikana na hawajashambuliwa lakini binafsi nawapongezeni wafanyakazi na viongozi wote wa TISS, kwa kazi mlioyoifanya na hata siku moja hamkuweka rehani usalama wetu kwa gharama yeyote.
Nitawataja viongozi waliofanyakazi kubwa huko nyuma na leo hii tunajuvunia amani tuliyonayo:
Mzee Mzena
Dr. Gama
Dr. Hassy Kitine
Dr. Augustine Mahiga
Lt. Gen. Imran Kombe
Mr. Apson Mwang'onda
Mr. Rashid Othman and his deputies.
Hawa wazee hapo juu na wasaidizi na watumishi wote tangu tupate uhuru, wamesaidia hii nchi kuwa ilivyoleo. Mr. Jack Zoka, wewe chapa kazi uzi ule ule, hawa jamaa naona wanapiga siasa tu, debe tupu haliachi kuvuma! Kama ilivyo ngoma inayovuma sana haikawii kupasuka. Na sitoshangaa ngoma ya CHADEMA kupasuka, kwani haina Itikadi, inavuma kwa shutuma na maandamano, ni Genge la watu na siyo Chama cha siasa. Lakini hata hao CCM, ambao walikuwa na Itikadi, wasijisahau, wanaweza kuteleza na kupigwa kikumbo! CCM wakumbuke kuwa Katika siasa za vyama vingi ni kama mbio za 100m, hakuna muda suala ni kupiga mbio na hakuna kumdharua au kumpuuza mpinzani wako katika mbio hizo kwani anaweza kukushangaza (2015) Siyo kwa kuwa mtu amekuwa Olympic medalists 10 times for the past fifty years basi anaweza kutembea kwenye mbio za 100 m, atashindwa tu. CCM inabidi ijitathmini, na CHADEMA wanapaswa wajifunze kuwa Chama cha Siasa na siyo Club ya Washikaji na Wazushi.
In China we say If the battle can't be won don't fight.