....... Mr Zoka dismissed the allegations, saying that Chadema officials were just playing politics and he would ignore them since he was not a politician but a civil servant working for a State organ.
There you are PakaJimmy,
Kwakuwa hajakanusha kupokea maelekezo ya kufanya kazi maalum ya kuwa-limboka viongozi wa Chadema basi bado hiyo statement haitoshi kumkwamua katika tuhuma hizo.
Kwakuwa hata RO mkurugenzi mkuu wa TISS naye anafanya kazi ofisi hiyo hiyo ya state organ kama zoka anavyodai, kwanini asituhumiwe yeye ambaye ndiye boss badala yake naibu wake ndiye atuhumiwe? hapa inaonekana zoka ndiye kichaka cha uhalifu ndani ya TISS.
Chama cha siasa kujiingiza kwny malumbano na vyombo vya ulinzi na usalama ni dalili za kupoteza mwelekeo
mtu unajiita raisi wa migomo huwezi kuwa na akili ya ku-urgue na mimi. na mimi sina muda wa ku-urgue na wapaka poda.vihere here mnaojifanya wajuaji,ukikaa pale kwny kijiwe cha wambea we ndo unaeskilizwa,poor u.
Kama kweli anaijua kazi yake, atuambie ilikuwaje ndege ya kijeshi imetoka nchi nyingine ikaja ikabeba Twiga na kuondoka bila serikali kujua na inakuja kujua kupitia wabunge? Yeye kama mkuu wa Usalama wa Taifa alikuwa anajua au alikuwa hajui? Na kama alijua alichukua hatua gani kulizuia lisifanyike? Anyamaze kimya ache mahoka. Anachefua.
WildCard ni bahati nzuri tu kwamba humo ndani ya TISS bado kuna vijana wachache wazalendo ndio wameamua kulisanua kwa maslahi mapana ya nchi hii. Hivi unategemea itakuwaje kama viongozi wakuu wa Chadema wakifanyiwa uharamia kama aliofanyiwa Dr. Ulimboka?Zoka anaweza kuwa sahihi. Hawa jamaa wakitaka kukuua au kukudhuru unaweza usigundue kama ilivyotokea kwa Dr Ulimboka.
Kwa mujibu wa gazeti la The Citizen la leo naibu mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyetuhumiwa na CDM jana kuwa yeye anasimamia operesheni ya kuangamiza viongozi wake amejitokeza na kutoa majibu yafuatayo;
But in a quick rejoinder, Mr Zoka dismissed the allegations, saying that Chadema officials were just playing politics and he would ignore them since he was not a politician but a civil servant working for a State organ.
"Dragging my name into their claims is sheer nonsense…. all these people are doing is play politics by way of looking for easy punching bags. I'm doing my work as guided by principles and procedures," Mr Zoka said
maswali ya kujiuliza;
1. Kanuni zinasema je kuhusiana na ni nani anapaswa kuongea na vyombo vya habari
2. Ametoa wapi mamlaka ya kutoa tamko kama kanuni hazimpi ruhusa
3.Kwanini kajitokeza haraka hivyo wakati Mkuchika ambaye ni waziri wake kasema kuwa jambo hilo ni kubwa na haliwezi kusemewa semewa ghafla.
Ninavyoona huyu jamaa anaharibu heshima ya Idara , na ndio maana CDM wanaweza kuipata mipango yake na kuiweka hadharani ,
Zoka anaweza kuwa sahihi. Hawa jamaa wakitaka kukuua au kukudhuru unaweza usigundue kama ilivyotokea kwa Dr Ulimboka.
Ni kweli kabisa kwmba Chadema ni chama cha siasa, na mchezo wa siasa ndio kazi yao ya msingi.
Tatizo hapa ni yeye zoka kuanza kuchezeshwa michezo ya siasa chafu kinyume na maadili ya kazi yake. Usalama wa Taifa ni kwa watu wote bila kujali itikadi ya kisiasa, itikadi ya kidini, kabila, rangi ama jinsi. Kwa hiyo hapa ni dhahiri kwamba anafanya kazi pasipo kuzingatia principles and procedures.
Who is poor!! among the stupid idiot who disclose their evil plans in pubs and bars and the one narrating what they have heard!! Who is poor among the crazy! who pretend to defend the state by abusing their power and the state through stupid torture!!vihere here mnaojifanya wajuaji,ukikaa pale kwny kijiwe cha wambea we ndo unaeskilizwa,poor u.
boot lickers of the state in action!!umeshatekwa na wachaga ww.huna mpya tena
Juzi kati apa kulikuwa na malumbano ya hoja itv kuna mzee mmoja akasema cdm manake ni chaga development manifesto.