Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Status
Not open for further replies.
kwa tunaomfahamu jack zoka , tunasema ni mtu hatari mpenda madaraka na ambaye pale TISS amepachafua kwa sababu kuna muda anafanya mambo yake bila ruhusa ya mkubwa wake akifikiri anawafurahisha wakubwa wa Nchi, anajaribu kuinyemelea nafasi ya Othman, lakini kimsingi pia anamsapoti mmojawapo wa candidates wa urais toka CCM , yule ***** mwenye kihere here, nafaikiri mnamjua yule mnafiki.
 
Tunapoelekea ni kuchinjana... Hao sijui wanajiita Usalama Wa CCM.. U Better watch, hatutakubali tuchinjane hivi hivi.. Tutaanza na nyinyi wa magogoni na wote wanaoratibu hizi shughuri... mapema tu kabla hamja fika hata airport kuelekea uhamishoni.... Yangu macho..
 
tatizo hizo 300 za mataputapu mnazohongwa na magamba ndo zinawadumaza akili mnatumikia mafisadi kwa kuhongwa tshirt pumbafuuuu!!
 
Hao usalama wa Taifa inabidi wabadilishe jina na kuitwa usalama wa CCM, hivi walishindwaje kujua pamoja na utaalam wao mkubwa wa intelejinsia, namna vigogo wa magamba walivyohamisha pesa yetu trillioni 16, na kuipeleka kwenye mabenki ya uswisi, wakati bajeti ya nchi nzima mwaka 2012/13 ni trillioni 15!!
 
HUYU ZOKA NDIE ANAIHARIBU NCHI KWA KUSHIRIKIANA NA KIKWETE NA NDIO MANA MIGOGORO HIWEZI ISHA MANA NCHI INAONGOZWA ZAID KIUSHIKAJI PASIPO KUFUATA MISINGI YA UONGOZO NA TARATIBU ZA KUIONGOZA NCHI KUZINGATIA TAALUMA YA USALAMA WA TAIFA NA MISINGI YA TAASISI YA RAIS.

KIKUBWA KINACHOONEKANA SASA NI SERIAKALI KUAMUA KUTUMIA NGUVU KATIKA KUHAKIKISHA YALE YALIOMO NDANI YA SERIKALI MABOVU HAYASEMWI NJE MAANA YANAIVUNJIA IMANI SERIKALI KWA WANANCHI WAKE.

NDUGU ZANGU WATANZANIA IKUMBUKWE NCHI ZOZOTE DUNIANI zimepata UKOMBOZI KWA WATU KUKUBALI KUWA MBEGU rejea kitabu cha (THE GRAIN OF WHEAT) hivyo tuwaombee viongozi wetu kwa kuwaunga mkono katika harakati za kupigania UKOMBOZI DHIDI YA MAFISADI.
 
Ni maslahi ya umma kuua mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu ili kuwalinda walio wengi. To me Uli and the few colleagues deserved death in favour of the majority Tanzanians.

"Usalama wa taifa wakiwa na silaha nzito walimshikilia Uli over the night wakijaribu kumuua lakini kwa mpango maalum wa Mungu hawakuweza"

Kwangu kutouawa kwa Uli usiku ule ni ushahidi tosha kuwa TISS hawakuhusika.
Na kwa kuwa huwa wanafanya kazi kwa maagizo ya Ikulu ndiyo kusema hawakuagizwa kitu (assuming that Ikulu hawawezi kutoa maagizo ya kunyofoa kucha na meno ya "adui wao")
Na huo kwangu ni ushahidi pekee wa serikali dhaifu, serikali inayoamini kuwa kila mgogoro utatatuliwa kwa misingi ya diplomasia na/au demokrasia tu.
Ni udhaifu kwa serikali kuogopa kuua watu wachache ili kuokoa raia wengi masikini wanaokufa kwa kukosa matibabu...
 
Kwani hao watu hamnywi nao vilabuni ,umefika wakatiwa ubabe ubabe tu,wakati wa kila mtu kutembea na bunduki begani ,ni jambo la kawaida ikiwa nchi imefikia kuwa na wasiwasi wa kuvamiwa wakati wowote.

teh teh teh...leo nacheka sana na hizi thread. Hao ndugu yangu wakishaona mambo yanakuwa hovyo wana zile klabu zao wanaenda kujificha huko. Kamwe hutawaona huku kwa akina sisi. Principally bila nidhamu kurudi, naogopa kuhisi we are heading for a problem.
 
Mh, mi naona wengine wanasubiri siku wakifa watu wapumue, kwamba loh- at last he/she is gone, watalia wanafiki na waovu wenzao basi
 
jamani waacheni wafanye kazi hao watu mh mmezidi hawalali wenzenu ila kumbukeni kuwa makelele ya chura hayamnyimi tembo kunywa maji..

oooooh! Another terrible mistake which most of the collapsed regimes had made...it all starts with little noises, before the voice become large. Si busara kutengeneza tabaka kati ya wanaoongoza na wanaoongozwa. Tutaiharibu hii nchi ambayo sote tunaihitaji. kama tunataka mema, basi sharti tuhangaike kuyatafuta kwa moyo na kweli. Mdharau mwiba, guu huota tende
 
Wakati idara za wenzetu zikijikita kwenye industrial espionage na maslahi mengine nje ya mipaka ya nchi zao sisi idara yetu iko bize kuilinda na kuitetea CCM.Usalama wa Taifa unageuka kuwa hofu ya taifa.Hali ikiendelea hivi ni bora hii idara ifutwe(Katiba mpya na iseme hivyo).

THINKINGBEING, you are the genius...bado sisi tuko mbali sana. Tumeinvest kwenye kitu kimoja tu, siasa! teh teh teh...naona watu wanavyotoana jasho humu mpaka inafurahisha.
 
Last edited by a moderator:
MUNGU ndiye idara ya usalama inayoaminika wala Jack Zoka asihangaika kujificha wakati anatekeleza mikakati yake ya kuliangamiza taifa la tanzania kwa sasbabu Mungu atazidi kumuanika machoni petu. Zoka ajue hawezi kua wateule wa Mungu hata siku moja.
 
Hapo umesema mkuu.
Wewe unamsifu "rais wa migomo" kwa sababu nahisi na wewe unawiwa (au umekuwa ukiwiwa) kutetea mfumo mpya uliopo ktk nchi yetu... mfumo wa kuacha hoja za kizarendo na kuingiza vyombo vya dola kwenye siasa. Vyombo vya dola vitalazimika kujibishana na wana siasa kama ulivyomsikia Zoka kwa kuwa wamewacha kazi yao ya msingi na kuanza kufanya kazi ya kukabiliana na wanasiasa...

Mimi nakushtua tu...
 
Chadema fanyeni kazi zenu za siasa wacheni watu wa usalama wa Taifa wafanye kazi zao za kulinda nchi.

Wangekuwa wanafanya kazi yao ya kulinda nchi nani angesema!? tatizo wanafanya kazi ya Kuangamiza wananchi!!
 
WildCard ni bahati nzuri tu kwamba humo ndani ya TISS bado kuna vijana wachache wazalendo ndio wameamua kulisanua kwa maslahi mapana ya nchi hii. Hivi unategemea itakuwaje kama viongozi wakuu wa Chadema wakifanyiwa uharamia kama aliofanyiwa Dr. Ulimboka?
Itakuwa tu kulaani kwa moyo mmoja kwenye press conference na kusema huku JF kwa kutumia key board. that's what will happen exactly.....mark my words.
 
The main problem I spot in this Forum, more often than not, is playing politics in almost all aspects and sphere of life.

I have problem to believe the allegation brought forward by CHADEMA Leadership. I think a serious politica party should be focused and have Political Vision for Tanzania, unfortunately all these are missing.

It has become a Political Party of accusations, cheap politics, master of cockamamie and useless propaganda. The question which execise my mind what will happen when Chadema takes over the reign of power for this country, will they overhaul the TPDF, TISS, POLICE, JUDICIARY, Will they be able to do the same to the Parliament?

What kind of discussions will be there in the Bunge if CHADEMA has majority of members of Parliament? Are we going to see the same level of unstructured discussions in the Bunge and some of the utterences, as we witnessed recently? If that will be the case then this country will go to the dogs! Not serious politicians. Some of these people as they say need to shape up or ship out and leave politics to those with that talent!....Tanzania ya leo isingekuwana na sura iliyonayo kama siyo kazi ya wazee waliotangulia wa vyombo vya ulinzi na Usalama, hawa wengine wanajulikana na hawajashambuliwa lakini binafsi nawapongezeni wafanyakazi na viongozi wote wa TISS, kwa kazi mlioyoifanya na hata siku moja hamkuweka rehani usalama wetu kwa gharama yeyote.

Nitawataja viongozi waliofanyakazi kubwa huko nyuma na leo hii tunajuvunia amani tuliyonayo:

Mzee Mzena
Dr. Gama
Dr. Hassy Kitine
Dr. Augustine Mahiga
Lt. Gen. Imran Kombe
Mr. Apson Mwang'onda
Mr. Rashid Othman and his deputies...

Hapo kwenye Red,Nini kilimtokea ? alikuwa anahatarisha usalama wa taifa gani hadi auawe kifo cha aibu vile? Mawazo ya kiform II pekee ndiyo yanatumika kupuuza kauli za viongozi wa CDM, kwa grown up wanajua hilo linawezekana, kwani sasa hivi watu wajinga wengi wanashindwa kutofautisha usalama wa taifa na usalama wa CCM, wanafikili kuuanguka kwa CCM ni kuhatarisha usalama wa taifa, hivyo sio kitu cha ajabu kama analysis imegundua kuwa usalama wa CCM utakuwa guaranteed na kuuliwa kwa baadhi ya watu kwenye vyama vya upinzani.

Ni wakati sasa idara ya usalama wa taifa isimame kwenye majukumu yake ya utafiti kwa nia ya kuokoa taifa na si mtu mmoja mmoja au kikundi cha watu kama watawala wa CCM. ni dhahili kuwa CCM iko matatani kisiasa kwa kuwa uongozi uliopo juu ya chama hauna maono na umekataa tamaa, huku CDM ikiomba site kupita, si kitu cha ajabu kwa viongozi waliopo madarakani ambao kuanguka kwa CCM ni hatari kwa maisha yao binafsi kwa uovu walioutenda, ambao kwa kiasi kikubwa kuna wakuu wa idara za usalama wanahusika kwa namna moja au nyingine hivyo hofu hii nao inawahusu.

Kwa msingi huo sio kitu cha ajabu kuwa katika kuhangaika na namna ya kulikimbia anguko ambalo liko wazi wakapanga namna isiyo ya kidemokrasia kujiokoa ikiwa ni pamoja na kuua na kutesa na kuharibu. Inawezekana kabisa,kama iliwezekana kumuua bosi wa mashushu Gen. Imran kombe,iweze washindwe kuwaua raia wa kawaida ambao sio mashushu wala wanajeshi wazoefu?

Tatizo tukipenda kitu, tunalazimika kutumia moyo kufikiri badala ya kichwa,Kauli za viongozi wa CDM ziko 50/50,inawezekana kuwa ni kweli kabisa na inawezekana kuwa si kweli kabisa, hitimisho la kuwa TISS hawafanyi mambo hayo ni la kijinga sana.
 
Maswali machache ya kumuuliza Zoka, kama kweli TISS yake inafanya kazi kwa maslahi ya wa-TZ wote, ilikuwaje vigogo walisuka dili la rada hadi magamba wanaweka vijisenti kwenye mabenki ya New Jersey, hadi issue kugunduliwa na SFO wa Uingereza?

Idara yake ilikuwa wapi wakati vigogo wanasuka dili za EPA, hadi watu kama Kagoda wakajichotea bilioni 40, ambapo hadi leo, hakuna hata mtu mmoja aliyefikishwa mahakamani? Intelejensia yao ilishindwaje kufanya kazi wakati makampuni ya kuchimba dhahabu na yale yanayochimba gesi na mafuta yalipowahonga vigogo wa magamba bilioni 303 na pesa hizo kuwekwa kwenye mabenki ya Uswisi?

Kwa maswali hayo machache, ni ushahidi tosha kuwa hao UWT, wapo hapo kwa kulinda usalama wa viongozi wa magamba, wakati maisha ya wa-TZ wengi yamepotea kwa kuwa tu hospitali zetu hazina dawa, wakati kama pesa hizo zilizoibwa na vigogo zingeokollewa na TISS pesa hizo zingenunua dawa na kuokoa maisha ya wa-TZ wengi?

Ni dhahiri kutokana na maelezo hayo huo ni ushahidi tosha kuwa chombo hicho siyo tena ni cha usalama wa Taifa kama kilivyokuwa siku za nyuma, bali sasa kazi yake kuu ni kulinda maslahi ya vigogo walioko madarakani kwa gharama yoyote, hata kama ni kwa kutoa roho za watu wanaopinga ugandamizwaji huo!
 
Kwanza yeye sio 'public figure' anakwendaje kwenye public? Pili, "since he was not a politician but a civil servant working for a State organ." kwa kutumia wakati uliopita inaonesha kuwa kwa sasa ni mwanasiasa na sio civil servant!!!!!!

Tatizo mnakurupuka tu bila kufikiria. Sasa ulimjuaje kama siyo public figure? Ni yupi public figure unayemjua wewe ndani ya UWT? JF ishakuwa dustbin sasa hivi, inzi kibaoooooo....
 
Zoka ana akili finyu kama Ghaddafi. His days are numbered.

wewe ndio huna kabisa akili,apo upo mirembe au wapi.kwanini unamwamini mzinifu slaa ambaye anapiga siasa apate umaarufu kwa kimtukana mtu bila ushahidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom