kwa tunaomfahamu jack zoka , tunasema ni mtu hatari mpenda madaraka na ambaye pale TISS amepachafua kwa sababu kuna muda anafanya mambo yake bila ruhusa ya mkubwa wake akifikiri anawafurahisha wakubwa wa Nchi, anajaribu kuinyemelea nafasi ya Othman, lakini kimsingi pia anamsapoti mmojawapo wa candidates wa urais toka CCM , yule ***** mwenye kihere here, nafaikiri mnamjua yule mnafiki.