Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Status
Not open for further replies.
Kwanza nawashangaa mnavokimbilia ku coment wakati hamjaelewa ki english.
 
Mgomo wa madaktari haiujatusaidia mana tumeumbuka sasa tunatafuta pa kukimbilia na sehemu pekee ya kuilaum ni uwt kwa kuwa hawaruhusiwi kujitokeza hadharani ,ths is cheap popularity
 
Nani anaweza kutuwekea picha ya Jack Zoka hapa? Just curious kama ni huyo ninaye-muonaga maeneo fulani.
 
kwa tunaomfahamu jack zoka , tunasema ni mtu hatari mpenda madaraka na ambaye pale TISS amepachafua kwa sababu kuna muda anafanya mambo yake bila ruhusa ya mkubwa wake akifikiri anawafurahisha wakubwa wa Nchi, anajaribu kuinyemelea nafasi ya Othman, lakini kimsingi pia anamsapoti mmojawapo wa candidates wa urais toka CCM , yule ***** mwenye kihere here, nafaikiri mnamjua yule mnafiki.

Mmh! Kumbe usalama wa taifa nako kuna makundi? Ndio maana habari zinavuja kiasi hiki. Aargh Tanzania hakuna linalokwenda sawa. Where are the true (the old guys of TISS) ?
 
Chadema fanyeni kazi zenu za siasa wacheni watu wa usalama wa Taifa wafanye kazi zao za kulinda nchi.
Mkuu hebu tuambie wanalinda nini? Kama watu wanavuruga uchumi wa nchi yetu watu hao hao wanawatuma kufanya kazi ndiyo wanatorosha mabilioni kuweka uswisi wanacholinda ni nini??
 
Unasema wafanye kazi gani? Hiyo ndiyo kulinda nchi? Nafikiri unahitaji kupimwa Mirembe!

Labda anamaanisha usalama wa taifa ulinde twiga wetu wasisafirishwe kimya kimya ha ha ha! Yaani wanajiita usalama wa taifa alafu wanashindwa kugundua deal la wizi wa mnyama mkubwa kama twiga?
 
Nani anaweza kutuwekea picha ya Jack Zoka hapa? Just curious kama ni huyo ninaye-muonaga maeneo fulani.

unatafuta mchumba nadhani bahati mbaya kwa umri ule hope jamaa atakuwa na mke labda utakuwa mke wa pili.weka no yako ya cm akipita hapa anaweza kukupigia.
 
Labda anamaanisha usalama wa taifa ulinde twiga wetu wasisafirishwe kimya kimya ha ha ha! Yaani wanajiita usalama wa taifa alafu wanashindwa kugundua deal la wizi wa mnyama mkubwa kama twiga?

wewe umegundua nini tangu uzaliwe zaidi ya kujaza tu choo
 
samahani hiyo jack ,hivi ni jackson au jackline ? natamani kuchangia ila nachanganya majina. kwa anayejua plz.
 
Huyo Nzoka ndio yule jamaa wa usalama ambaye gazeti la Mwanahalisi liliandika habari zake na kuweka ushahidi namna alivyokuwa anawasiliana na Zitto Kabwe wakati wa uchaguzi wa 2010? Mbona hakukanusha hizi claims za Mwanahalisi.Wakati huo naona Zitto alipewa kazi maalumu na akina Nzoka.

Sasa huyu jamaa naona jina lake linajitokeza mara kwa mara katika hizi syndicate. He claims to be guided by principles and procedures of his state organ. Real? Don't make me laugh.Are there guiding principles and procedures in Tanzania state organs?
 
Tatizo mnakurupuka tu bila kufikiria. Sasa ulimjuaje kama siyo public figure? Ni yupi public figure unayemjua wewe ndani ya UWT? JF ishakuwa dustbin sasa hivi, inzi kibaoooooo....

wewe ndio umekurupuka kwa sababy yeye hatakiwi kutokea kwenye ma-media, na yeye ndio ametokea kwenye media na wananchi kumfahamu. Bila yeye kwenda huko nisingemfahamu na maadili ya kazi yake hatakiwi kupayukapayuka kwenye media. Wewe ni mmoja wao nini?

TIS(1).jpg
aHR0cCUzQSUyRiUyRjEuYnAuYmxvZ3Nwb3QuY29tJTJGXzFmWE1YWXp0cjB3JTJGVE5POG1EbXJHTkklMkZBQUFBQUFBQWV4RSUyRnJKbmUydFZtOHRRJTJGczY0MCUyRkphY2t5JTJCbXVnZW5kaSUyQlpva2ElMkJOYWlidSUyQk1rdXJ1Z2VuemklMkJNa3V1JTJCd2ElMkJpZGFyYSUyQnlhJTJCVXNhbGFtYSUyQndhJTJCdGFpZmEuLkpQRw==
 
Bora hata mimi nijiite Jasus nimewahi kukamata kibaka..hawa Usalama wamewahi kuzuia nini !! nchi inaporwa sana na sasa kuna magenge ya kuteka na kupiga watu hii nayo ujasusi wao mbona haujapata hayo magenge?!!
 
Labda anamaanisha usalama wa taifa ulinde twiga wetu wasisafirishwe kimya kimya ha ha ha! Yaani wanajiita usalama wa taifa alafu wanashindwa kugundua deal la wizi wa mnyama mkubwa kama twiga?

hahahahaaaaaaa,,,,,,,,,hawaoni?????
 
Chama cha siasa kujiingiza kwny malumbano na vyombo vya ulinzi na usalama ni dalili za kupoteza mwelekeo
wewe umeona kuna malumbano hapo, au wametoa malalamiko, hivi lugha hizi za kusoma kwenye shule za kata ndo matunga yake haya.....au hujui malumbano? we kabila gani kwanza inawezekana mkimbizi, kwani udhaifu wa vyombo vyetu vimesababisha watu wa kila kada kuingia tena kwa mwamvuli wa ccm ili walindwe...tunawatambua
 
Pia kama yuko kikazi basi, angezungumzia pia, wizi wa Epa, ufisadi wa richmond, fedha za uswisi, uingiaje horera watu kutoka somalia, ethiopia, na walishindwaje kuzuia mlipuko wa balozi wa USA, nk, kwa haya machache alishindwaje kuzuia, au kubaini, mpaka raia wanasiasa wanaibua? Angekuwa intelligence wa ukweli na tungewaheshimu.

Cha ajabu mnajua kuchakachua kura, kusindikiza majambazi na mafisadi, halafu leo unasimama mbele ya wanaume unajiita intelligence pers, SHAME ON YOU bora ukae kimya uendelee kula bure kodi ya wanachi.

Mkisubiri hukumu yenu soon. Kwa ufipi si lolote si chochote Zoka (hata uraia nina mashaka nao maana hili jina lina utata)
 
eti tuna Tiss wakati ndege ya kijeshi isiyo yetu inatua KIA na kubeba wanyama
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom