Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,391
Inapendeza watu wanapojibiwa kwa hoja na kuelimishwa
View: https://www.facebook.com/share/v/1DMBkoRUch/
View: https://www.facebook.com/share/v/1DMBkoRUch/
Kwani chakula kina shida gani?
Kwa hiyo nyinyi waislamu waliberali wa siku hizi mnakula vibudu, hata mbuzi ikichinjwa na massawe huko kimara unafakamia tuMie ni muislam, ila mkristu akileta mpunga wake naula bila tabu