Mzee wa Posho
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 160
- 13
1. Ni vigumu kuchukua jimbo lillilokuwa linashikiriwa na Chama Kingine
2. Kulikuwa na Ukiukwaji Mkubwa wa Sheria za Uchaguzi
3. Kumefanyika Uchakachua Mkubwa sana,kura za Chadema zimeibiwa
4. Msimamizi wa Uchaguzi kapendelea sana CCM
5. Vijana wetu tuliowatoa Tarime na Bavicha hawakua makini
6.Kitendo cha CUF kusimamisha mgombea kimegawa kura hasa za Chadema
7.Watu wa Igunga bado hawajui Mageuzi ya Kweli
8.Mgombea wetu alikua hana sifa za kutosha!
2. Kulikuwa na Ukiukwaji Mkubwa wa Sheria za Uchaguzi
3. Kumefanyika Uchakachua Mkubwa sana,kura za Chadema zimeibiwa
4. Msimamizi wa Uchaguzi kapendelea sana CCM
5. Vijana wetu tuliowatoa Tarime na Bavicha hawakua makini
6.Kitendo cha CUF kusimamisha mgombea kimegawa kura hasa za Chadema
7.Watu wa Igunga bado hawajui Mageuzi ya Kweli
8.Mgombea wetu alikua hana sifa za kutosha!