Majibu kwa lara 1

sipendi mwanamke anaeongea saaana kama wewe...mara nyingi ni watata,na trust me hakuna muoaji anaependa hii kitu...ushauri tu kama na wewe unasubiria ndoa..mimi nilishaoa tangu mwaka jana

Kumbe tuko wengi, mimi mwanamke anaye bwabwaja kisa eti ana uhuru wa kuongea sipendi hata kidogo.mwanamke hufunua kinywa kwa hekima si kila neno linalotoka kinywani anatapika.
 

Sasa umeniitia nini hapa?
 

Eti sio kweli wote wanaotanga tanga wamepotea?
 
.mmmmhh mi nasubiri mwendelezo tu!!! Sijui nani atafuata kumjibu
@Ngw'anao.... Khaa jina limenshinda!!!!
 
Natumaini sikukosei mtoa mada na wengineo kwa kuuliza hili na natumaini pia hii sio mojawapo ya siri za ndoa.
Uko kwenye ndoa miaka mingapi ? na range yako ya umri ni kati ya ngapi na ngapi? maana nikiomba exact naweza nisipewe labda kama umekomboka.
Ni hayo mawili tu. Asante
 
Kumbe tuko wengi, mimi mwanamke anaye bwabwaja kisa eti ana uhuru wa kuongea sipendi hata kidogo.mwanamke hufunua kinywa kwa hekima si kila neno linalotoka kinywani anatapika.
Hahahaaa! KAMA NI HIVO NA WEWE USIBWABWAJE! Ukibwabwaja mimi nakuchamba wima wima vizuri tu kwani we nani labda.? Uliniita mwenyewe kwenye uzi wako!
 
Kumbe tuko wengi, mimi mwanamke anaye bwabwaja kisa eti ana uhuru wa kuongea sipendi hata kidogo.mwanamke hufunua kinywa kwa hekima si kila neno linalotoka kinywani anatapika.

Don't get twisted Lara 1 habwabwaji na wala si muongeaji wa kihivyo hapa anatype keybord tu na unaicheza midundo yake. who to blame?

Interesting kwa kweli
 


wewe yako iko hivyo au yaleyale ya kusikia saloon
 
Mbona panic tena kulikoni? Hahaha take it easy my lala1.
JIBU LINATOKANA SWALI! Swali likitakaa kuchabwa unachabwa tu, ukiuliza kistaarabu unajibiwa kistaarabu, ukitaka tusi nakupa la kusindikizia ugali!
 
Hahahaaa! KAMA NI HIVO NA WEWE USIBWABWAJE! Ukibwabwaja mimi nakuchamba wima wima vizuri tu kwani we nani labda.? Uliniita mwenyewe kwenye uzi wako!
na mara nyingi wanawake wa aina yako huwa wana sura mbaya,umbo bovu, mashauz clasiic tu...na huwez kua una kazi ya maana mjini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…