lara1 my twin jana ulikuwa off-key kabisaaaaaaaa...... Yaani hukuniclick kabisa na mada yako... Ulizingu
Dont call this a hypocrisy coz ni busara pia kukubaliana kutokukubaliana...
I dnt think tulioolewa huwa tunajichukulia na kuwachukulia ambao hawajaolewa the way unavyozani wewe, na sijui ni nini kimekupelekea ukazani tuko hivyo
Hahahaaaaaa!
Ndio nimetaahadharisha watu wote swma kwasababu WANA NDOA MNAJIOANA NI THE CHOOSEN ONES HUKU BONGO NA AFRICA ndo maana iliwashtusha mi kuchana LIVEEEE miongoni mwa wengine.
Yaani hapo kwenye matatizo ua single 100% PIA YANAWAKUTA WANANDOA, KUTOA MIMBA MNAONGOZA KWA KUPIGA MECHI KAVU, SWALA LA ZANZIBAR PIA MMO, MAANA NYUZI MUME WANGU ANATAKA KUNIPELEKA ZANZIBAR HAZIKAUKI HUMU, KULE WATOTO WENGINE MMEKIMBIA NYUMBANI VILE VILE. HAKUNA CHA HERI MWENYE NDOA WALA NINI NI NUSRA NURSA ALMANUSRA MOLA NINUSURU NA KIZAZI CHANGU!
Sanaasanaaa umethibitisha kuwa MARRIAGE IS 100% HYPOCRITICAL INSTITUTION KWASABABU HIO HOJA YAKO MATATIZO YENU WANANDOA YAJADILI WENYEWE TUUU ILA YA WENGINE KAMA SIE SINGLE NA NYIE MJADILI!!! HAHAHAHAHAAAAAAAAA!
SI NDO UNAFIKI WENYEWE HUO NA UZANDIKI KUPITILIZA, MBELE ZA WATU KUJIFANYA HAMNA TABU, MPO BLASSED, KUMBE JIONI MNAKAA VIKAO TIA MAJI TIA MAJI?
JUST BE HONEST KUWA MOTO WA CHANGAMOTO NI ULE ULE NO BODY IS SAFE ANYWHERE! Hahahaaaa! CHEZEA KUACHIKA NA WATOTO 3 UTAMPELEKEA NANI USED BEYOND RECOMENDED CAPACITY! No offence intended! Hahahaa!
MUACHE UNAFIKI KUWASEMA SINGLE LADIES KUMBE NYIE MPO ICU YA FURAHA! Semeni shosti changamoto zopo kote kote ni kupambana tu, ndo maisha yalivo! Sio nina bahatiiii! Kumbe buti linafunguliwa!
Hahahahaaaaa! Today is your lucky day! Niko na MKE WA MTU HAPA ANANIOMBA NIMTAJIE DAWA YA KUTOA MIMBA YA 3 DAYS (THE AFTER PILL) MANAKE KACHEZA MECHI YA NJE KAVU KAVU MKE WA MTU HUYO CHUPI INAMBANA HAPA, MOJA HAIKAI, MBILI HAIKAI. HAHAHAAAAAA,Halafu wengi wao wanazitamani ila bahati haijawaangukia,wanaponda huku mioyo inawachoma hivyi kuna mtu asiye penda kukaa na mme anayempenda wale na kunywa pamoja watembee pamoja akiugua anamwangalia kama mtoto wake?
Hata mimi niliuliza swali hili lakini naona Matola amenipotezea tehetehe
Probability???Math don't lie.
Wake zangu cacico, BADILI TABIA, Kongosho hebu kujeni pande hii...... Mme wenu nazalilishwa mchana kweupeeeeee.....Duh! BADILI TABIA ndo Asprin kumbe!
Za bongo zinashikiliwa na hypocricy! Hahahaaaa! Bila hypocrisy kwisha kazi,
lara 1 unajenga hoja kupitia post za jf kwamba wengi wanalalamika waume zao wanataka Zanzibar,post nyingi humu ni za kutunga ili kufurahisha jukwaa na ndiyo maana hata ushauri wenyewe umekuwa wa mizaha tu,fikiri mtu anaanzisha post 3 mpaka 4 kwa siku anaelezea masahibu yanayompata kwenye ndoa sisi tuliomo kwenye ndoa tunajua uongoooooooo!
Kutunza siri ni sehemu ya ndoa ni sawa na polisi kulazimisha asivae kofia akiwa kazini huiwezekani,matatizo yaliyomo ni ya kawaida sana binafsi sijaona tatizo au kwa vile nilipata mtu sahihi.sisi hatuwasemei mambo yenu ila tunawaelekeza njia inayo wafaa maana tulishapita huko mliko tunajua changamoto za huko ndo maana tunawashauri na kuwaelekeza njia ya kuingia nchi iliyojaa maziwa na asali.
Ndoa faraja baada ya masahibu ya ujana labda kama mtu alikosea mwenza.
Ni kweli lakini sehemu kubwa ya maelezo yalikuwa kukandia ndoa! As if anashauri wasiende kwa sababu ndoa siyo.[/QUOT
Mimi na wewe nazani tulielewa kitu kimoja
Huo ndiyo ukweli,wengi wanaogopa kumwambia lara 1 ukweli anjiita Kim Jong Ung.
Hahahaah my wifey.... fuatilia kwa makini uje unisimulie wakati wa kulala....
Muda si mrefu atakufikia usipoongeza bidii.
''Hakuna Baba Mwenye Gari, kuna Baba mwenye Nyumba tu....!''
Nawahi nafasi! Nimerudi!
YES MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION SIFUTI KAULI!
Naomba kujibu hoja zako kama ifuatavyo!
Kwanza ile kama fasihi simulizi yoyote inapokelewa tofauti tofauti na hadhira! Naomba nijibu mapokeo yako ya ile fasihi andishi nilioiweka jana. Kama fanani ni wajibu wangu kujibu querry sijui spelling nimemapatia manake watu watu wa grammar mnanikalia mnoo kooni siku hizi kama ifwatavo!
1. Kweli sijaolewa, na wala siwezi kudanganya niliolewa ama vipi, hapanaaaa! Ila ile ni observation yangu kama LAY MAN au THIRD PARTY tu ambayo ni HAKI YANGU YA KIKATIBA UKIZINGATIA WE HAVW BEEN A FREE COUNTRY SINCE 9 DECEMBER 1961. Na neno langu sio sheria ama presidential decree ni mtazamo tu binafsi.
2. Kweli nimetahadharisha si wanandoa tu, bali BINADAMU KWA UJUMLA WETU kuwa maisha ni safari ndefuu sanaaa, ukicheka leo kesho huenda unune nanikaenda mbali sanaa kuwaomba bin adaam MUMUOMBE MUNGU AWAFANYIE WEPESI MIZIGO YENU na sio kuhukumu watu wengine na kuwasulubisha msalabani!
3. All in all sijaona ulipo dhibitisha PASIPO SHAKA YOYOTE kuwa MARRIAGE IS NOT A HYPOCRITICAL INSTITUTION! The hypocrisy inakuwa pale MNAPOJADILI HII TAASIS HAMUWEKI KARATA ZOTE MEZANI, MNAJADILI MAZURII TUUUUUU! Sio uugwana huo! Sawa wekeni mazuri na vibaya pia mseme?
4. Tabia ya kuchuna hahahahaaaaaa! COUNTING MY SINS DOES NOT MAKE YOU A SAINT!
Hitimisho!
TUWE TU WA WAZI UOLEWE, USIOLEWE, MAISHA YOTE NI CHANGAMOTO! Married people should be honest and stop window dressing of facts THAT THEY ARE THE HAPPIEST, LUCKIEST, AND BETTER THAN EVERYBOY HAVING A HEAVEN ON EARTH AND SINGLE OLD CARGOS LIKE ME SHOULD GO HUG A TRANSFOMER BECAUSE WE ARE PITYFULL! Hypocrisy at its highest!
IT ABOUT TIME WE PUT ALL THE CARDS ON THE TABLE!
Huo ni mtazamo wako ambao si sahihi hata kidogo.
Mkuu kwa jinsi ulivyoandika hii mada yako naweza kuona busara na utu uzima ulioko kwenye maandishi yako
Ninachotaka nikushauri ni kuwa mabinti aina ya lara 1 wanakuwa na mitizamo hii kwakuwa wanakuwa wanapambana na hofu zilizoko ndani mwao kuhusiana na suala zima la ndoa,wanaiogopa
Sasa wanadhani kupambana kwa kuipaka matope wataokoka nayo
Nadhani unajua kabisa kuwa mtu kama anakuogopa atashinda mtaani kwenu akikukashifu kila uchao,anapofanya hivyo sio kwamba anafanya hivyo kwakuwa na lengo la kukupaka matope,hapana,anakuwa anapambana na hofu zilizoko ndani mwake kwakuwa anajua kabisa anakuogopa sana
Huyu mwache na akiendelea kukua atakuja kugundua kuwa alichokuwa anakiogopa hakikufaa kuogopwa hata kidogo kwani ni cha kawaida,nilipokuwa na umeri fulani hivi nilikuwa napambana na vijana wenzangu ambao walikuwa wanajiingiza kwenye ndoa
Lakini zaidi nilikuwa nashauriwa na watu wazima kuwa kinachonisumbua ni hofu ya ndoa na umri tu lakini sikuwaelewa,waliniambia kuwa siku nikija kuoa au kukua mambo yatabadilika sana
Leo hii sijaoa lakini nimekua na nayaona mambo kwa mapana yake na sina haja ya kuikashifu au kuisema vibaya au kuigopa ndoa kwakuwa huo ni utoto!!
Ni kweli lakini sehemu kubwa ya maelezo yalikuwa kukandia ndoa! As if anashauri wasiende kwa sababu ndoa siyo.
Hata mimi mada ya wadada above 30 AMBAYO NDO CHANZO CHA YOTE kidogo inidedisheee! Niliandika napumulia mashine JAPO NIACHE WOSIA!
Mkuki kwa single ladies eeeh kwa binadamu mchunguu!
Hahahaaaaa! HIVI HATA KWA KUTANIA NIMEWAHI KUSEMA NAPENDA MWANAUME KAMA WEWE? Hahahahaaaa! Unachekesha kweli!sipendi mwanamke anaeongea saaana kama wewe...mara nyingi ni watata,na trust me hakuna muoaji anaependa hii kitu...ushauri tu kama na wewe unasubiria ndoa..mimi nilishaoa tangu mwaka jana