Majibu kwa lara 1

Hahahaaaaaa! NA WEZELE KAJAALIWA SI MASIKHARAAAAA KAMA MUINDI TENA MUHINDI YULE TOLEO LA MWISHO KABISAAAAAAAA! Hahahaaaa! Ndo maana kuchwa kusema wadada àYEYE TENA BEAUTY WA KIJIJI, CUTE WA MTAAA ALAAAAAAAAAA!

Mtoto mashallah...!!
Analipa kotekote..!!!
Nimekuja kwenye kigona cha uruguay...!!#
 

kumbe salama lakini ndugu yangu.Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Mtoto mashallah...!!
Analipa kotekote..!!!
Nimekuja kwenye kigona cha uruguay...!!#

Na akome kutuquote mpaka ajue kukata kiuno huyu, na keki nyingine tunamleteaaa ale leo ashibe keki tu
 

Dume lakini bunduki haina risasi...!!!!!
Piga bastola zzzzzzzzz......!!!!!!
 
kama hamtaki ndoa endeleeni kushughuliwa na mijamaa mtakumbuka shuka kukiwa kumekucha.

Uzuri shuhuda za wote tunaziona katika jamii.Waliojidai hawataki kuolewa tunawaona na walioolewa either hawateseki au wanateseka tunawaona.
 
Kwa geshima yako nimetoka kwenye kigodorokuja kujibu hapaaa! Okay! What do we have here!

NA KUWA. NA TABIA NYINGI HAKUPOTEZI KWA NAMNA YOYOTE, AU KUFIFISHA TABIA HIO MOJA SUGU NA MAARUFU YA HYPOCRICY! Na hii tabia nimeiona kwenye ndoa za mazingira TOFAUTI TOFAUTI wanachozidiana ni level tu ya HYPOCRICY! Ila HYPOCRICY WAS CONSTANT REGRDLESS DIEFFERENT ENVIRONMENT OBSERVED!

SIJABISHA NA NAKUBALI 100% TABIA ZINGINE PIA ZIPO ADDITIINALY KWENYE HIO TAASISI YA NDOA, LAKI I UWEPO WA HIZO TABIA ZINGINE HAUBADILISHI UKWELI KWAMBA HII TABIA YA UNAFIKI IMO PIA HUMO HUMO! Sasa ukbwa wa hii tabia ndani ya taasisi unategemea ntu na ntu na perception zao. BOTTOM LINE IS IPO IMEJAAA TELEEEEE!

MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION HENCE PROVED BEYOND REASONABLE DOUBT!
 
Nilitoa ushuhuda wa mke wangu kwenye uzii huu moderator wameufuta huoni hata sentesi ya mwisho wameitoa ikaaishia njiani naona ushuhuda wa mambo mazuri hawautaki.

ng`wana ong`wa kulwa sawa mkuu pole mods labda wameona umepemba sana...... au yalikuwa too personal ... isiwe hoja ila ni kutupa tu mwelekeo kwamba kwenye ndoa kuna mazuri na kuyasema any way its okey na pole all good and bad are made for us... okey
 

Umesahau na kucheza kwaito.
 
Na kukata miunooo feni! Haya mrembo sajo OKOTA MAGANDAAA PELEKAA UGANDA YAMEPANDAAA BEI SUKUMIZIWA MDUDE WAAAAAAAAA!

Nani kama mrembo Sajooo? Hakunaaaaaaaaaaaaaaaa!

Atajibeba leo...!!!
amekunywa soda zetu...!!!
Atajibeba leo ...!!!
Amekula keki yetu...!!!
Atajibeba leo....!!!!
Amevaa dera letu...!!!
 
Thank you! NO FURTHER QUESTIONS YOUR HONOR!
 

kweli usio na shaka
 
Mkuu umeongea sana mkuu kiufupi watu wana stress humu zakupigwa chini mara kwa mara nakukataliwa wakati vikao vya harusi vimeshaanza,watu wana msongo mkubwa wa mawazo mkuu,mtu ashakuwa na wanaume lukuki ila kila akiulizia ndoa jamaa anakata mguu ghafla,sa kwa nini asiwe na mawazo yakuponda ndoa wakati ndoa ni mpango SAHIHI aliouweka MUNGU kwa kila mwanadamu jinsi yakuishi ukishakuwa mtu mzima...binafsi sijaoa ila ninawaheshimu sana nakuwapa pongezi waliopo ndani ya ndoa,matatizo yapo kila mahali na katika mahusiano yoyote hata huku kwa ambao hawajaoa pia yapo ila kitu kinaitwa UVUMILIVU na KUJITAMBUA kwa nini upo hapo ndio silaha tosha yakuishi vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…