Majibu kwa lara 1


Hata yeye hajasema anataka kukuoa rudia andiko lake utaona ila anasema hapendi mwanamke anayeongea sana.
 
Wana yao;
Tena kwa michepuko wamezidi wao,
Tena kwa virusi wamezidi wao;
Wapite na zao huko wasituambukize hasira hapa
Yote yapo wazi tu, sijui wanakataa nini hapa.

Hahaaaaa! Mpaka wamenivika uibilisi utadhani mie KU POINT OUT THE OBVIOUS NDO NAWATIA WANANDOA ROHO HIZO ZA USHETANI!
 
Hahahaaa! KAMA NI HIVO NA WEWE USIBWABWAJE! Ukibwabwaja mimi nakuchamba wima wima vizuri tu kwani we nani labda.? Uliniita mwenyewe kwenye uzi wako!

jibu hoja uzi umefenyaje
 
JIBU LINATOKANA SWALI! Swali likitakaa kuchabwa unachabwa tu, ukiuliza kistaarabu unajibiwa kistaarabu, ukitaka tusi nakupa la kusindikizia ugali!

ivi kuna mwanaume amewahi kusumbuka apo kwako kweli??
i mean akufuatilie,apate shidaa ya kukupata...sidhani!!!it cant be maana despite all you look cheap and frustrated.....anza kupata ushauri nasaha
 
na mara nyingi wanawake wa aina yako huwa wana sura mbaya,umbo bovu, mashauz clasiic tu...na huwez kua una kazi ya maana mjini!!

hapa sio sehemu ya kutoa siri za watu,maana umeshavujisha too late daaah
 
Hata yeye hajasema anataka kukuoa rudia andiko lake utaona ila anasema hapendi mwanamke anayeongea sana.
Hahahaaaa! Umeona umsaidie nimempa za uso mpaka katulia!

KASEMA HAPENDI MWANAMKE ANAE ONGEA KAMA MIMI, JE NILIWAHI HATA MARA MOJA MIMI HUYO JAPO KUMTANIA NAPENDA FREE P KAMA YEYE?

Ndo jibu langu hilo!

ASIJISHONGONDOE SIPENDI MTU WA AINA FLANI YEYE KAAMBIWA HUYO MTU ANAMPENDA?

Rudi kwenye mada yako please, michambo yetu na mkono wa paka na mkewe HAIKUHUSUUUUUUU,! Kazania mada yako baba kabla hujachachua thread!

YA NGOSWE TUACHIE NGOSWE TULIVOANZANA NDO TUTAMALIZANA!
 
Wana yao;
Tena kwa michepuko wamezidi wao,
Tena kwa virusi wamezidi wao;
Wapite na zao huko wasituambukize hasira hapa
Yote yapo wazi tu, sijui wanakataa nini hapa.

wewe nae wa kule kiraracha utakua huna mume....na ur at late 40's...heheheh

tunawaaambiaga wanawake msichezee umri jamani...yaani ikipita imepita unaanza kulumbana na mawifi na waume zao jf...kukosa ndoa ni sawa na kusema 'i better cry on a mercedes benz than on a bysko'....leo nitawakomesha mindungayembe yote
 
mwache aendelee kujivua nguo apa.....ata ndoa ya uzeeni anaipeperusha..tatizo kuna menopause ndio kimbembe...yaani wanawake wawage wapole tu.....mie at 50 naoa 24 graduate na nnazaaa....

Naanza kuamini walichosema wahenga sikio la kufa halisikii dawa na neno linasema aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla na hapati dawa.
 

we mwanamke usitake kutafuta bwana kwa nguvu....sijawahi kujickia hata hamu ya kuwa na number ya simu ya mwanamke wa aina yako...achilia mbali wewe...nipo nimetulia tuliii na mama kibinda wangu...aku sitaki stress.

mwanamke ni kauli tu hakunaga kingine,kujitambua,kuwa focussed,time is money,kulea familia..wenzio wapo jukwaa la doctor wanaulizia matunzo ya watoto wao wewe kutwa MMU.......em ngoja niulizie kwanza kama mwanangu kapewa maziwa
 
nah lete kiroba bamedi afu my dog needs a bit.ch to gegeda so utaenda bandani au utamchain uswazi geto kwako

Hivi mtoto wa kiume unajisikiaje kukaa hapa kushindana na mademu na kuwatukana?
 

nakubaliana na wewe kabisa lara1 ndiyo maana hawawezi kutoa ushuhuda wa ndoa zao watoe tuone sasa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…