Maji yana ladha au hayana ladha?

Radhia Sweety

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
4,434
1,765
Kwenye somo la Chemistry Form 2 tulifundishwa moja ya sifa ya maji ni kuwa 'hayana ladha' ( tasteless).
Miaka ya karibuni kumeibuka kampuni nyingi za kutengeneza maji ya chupa.

Cha ajabu watu wamekuwa selective sana kuhusu aina ya maji wanayokunywa huku wengine wakikataa kununua maji aina nyingine zaidi ya brand walizozizoea.

Wengine husema maji haya si matamu.

Swali: Kama ndiyo hivi, kwanini tusiseme maji yana ladha?
 
Hizo kampuni zina preference zao zaidi za kibiashara... Ndio maana ukiangalia pH za maji mbalimbali mfano Maji ya 'uhai, 'Masafi', 'Sayona','Kilimanjaro' ni tofauti...Zinarange pH 7.0-7.2 ndio maana wengne wanasema maji ya kampuni flan sio mazuri

All in all ukweli upo palepale Maji hayana ladha..na hayana rangi.
 
Hizo kampuni zina preference zao zaidi za kibiashara... Ndio maana ukiangalia pH za maji mbalimbali mfano Maji ya 'uhai, 'Masafi', 'Sayona','Kilimanjaro' ni tofauti...Zinarange pH 7.0-7.2 ndio maana wengne wanasema maji ya kampuni flan sio mazuri

All in all ukweli upo palepale Maji hayana ladha..na hayana rangi.

Mkuu pH ni suala la kitaalam. Utakubaliana na mimi kuwa asilimia kubwa huwa hata hawana muda wa kusoma nini kimeandikwa juu ya chupa. Lakini ukweli ni kwamba wateja wengi watakuambia maji fulani ni matamu kuliko maji fulani.
 
hayo maji wewe unaayotumia ni maji ya kiwandani na si pure water pure water ni testless kama ulivyofundishwa .haya mengine mfano Kilimanjaro,uhai,sayona ni industrial water ambayo ili kuyasindika kuna vitu wanaweka gredients ph,sodium,chlorine/chloride,and so and so.na hizo ndo zinatofautisha kati ya brand moja na nyingine
 
Ukitaka kujua maji yana ladha jaribu kunywa ya dawasco na ya kisima utapata jibu
 
Kwenye somo la Chemistry Form 2 tulifundishwa moja ya sifa ya maji ni kuwa 'hayana ladha' ( tasteless).
Miaka ya karibuni kumeibuka kampuni nyingi za kutengeneza maji ya chupa.

Cha ajabu watu wamekuwa selective sana kuhusu aina ya maji wanayokunywa huku wengine wakikataa kununua maji aina nyingine zaidi ya brand walizozizoea.

Wengine husema maji haya si matamu.

Swali: Kama ndiyo hivi, kwanini tusiseme maji yana ladha?

maji ya taste kitaalamu inaitwa inspidus taste
 
Back
Top Bottom