Maji yakipwa huenda wapi?

1. Kwanini maji ya ziwa hayakupwi Wala kujaa licha ya Dunia kuyumbayumba?

2. Kwanini maji ya bahari Dunia nzima yasijae upande ambao Dunia imelalia? Kuna mtu amesema kwamba maji yanapokupwa upande mmoja, jua kwingine yamejaa
Nö 1 swali zuri
 
Kulingana na Socrates, kuhoji au kuuliza ni kutaka kujua, swali zuri sana! Mimi jibu nililoambiwa shuleni ni mvutano kati ya mwezi na jua. Ila nami nipo kwenye Giza naomba nifafanuliwe kuhusu hilo. Hizo tides zimekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu ni 1st Newton's law of motion: " A body in motion remains in motion or a body at rest remains at rest unless acted upon by an external force" au kwa lugha nyepesi " An object will not change its motion unless an external force acted on it"
 
Jibu ni 1st Newton's law of motion: " A body in motion remains in motion or a body at rest remains at rest unless acted upon by an external force" au kwa lugha nyepesi " An object will not change its motion unless an external force acted on it"
^will not change its STATE^
 
simple ni kwamba sayari yetu hii yaani dunia inajizungusha kwenye mhimili wake na pia iko kwenye mzunguko wa kulizunguka jua kama sayari nyingine zinavyofanya. sasa dunia inapojizungusha kwenye mhimili wake kuna wakati inaegama, hapo ndipo ujazo wa maji huhamia kule ilikoegamia na ikirudi kwenye usawa wake kulingana na upande ulipo maji hurudi kwenye ujazo wake. mzunguko huo ndio hutuletea usiku na mchana.
 
yanaenda mbingun😎😎
 
kwanini ni maji ya bahari ndio yanahama?
 
Kidogo napata kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…