MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,220
- 3,917
Wewe naona unautani na TBS na ISO! Huyatumia sana maji ya Uhai ni maji bora kabisa. Napata sio chini ya lita mbili kila siku , wewe naona uliuziwa yanayoandaliwa vichochoroni.Utadhàni kuwa yamechotwa baharini, maji ya kunywa ya Uhai yana ladha ya chumvi nyingi isiyofaa kwa kunywa na kutuliza kiu TFDA na tbs mko wapi?