Maji Uhai yana ladha mbaya

Maji Uhai yana ladha mbaya

Maji uhai yamechakachuliwa kweli ukiangalia chini ya chupa utaona yamewekwa super glue

Hata mi mwanzo niliamini yamechakachuliwa
Sasahivi amebadirisha chupa lkn ladha ni ileile
 
Utadhàni kuwa yamechotwa baharini, maji ya kunywa ya Uhai yana ladha ya chumvi nyingi isiyofaa kwa kunywa na kutuliza kiu
Tfda na tbs mko wapi?

ACHA UNAFIKI NAKUHARIBU BIASHARA ZA WATU WW,,,,WATU TUMEANZA KUNYWA HAYO MAJI KITAMBO TU NA HATUJASIKIA HAYO USEMAYO,,,,kunywa maji ya mwingira basi au ya kakobe ndo mazuri kwako,,,maana Una ajenda binafsi bila shaka
 
...labda amekunywa yale yanayopatikana kule kwenye visima vya Uvinza!

Ili lijamaa Lina ajenda Fulani ya km udini naisi Na kuharibu business za wawekezaji wazawa,,,----- maji ya uhai ndo tunayokunywa uswahilini daily Na hamna iko asemacho
 
ACHA UNAFIKI NAKUHARIBU BIASHARA ZA WATU WW,,,,WATU TUMEANZA KUNYWA HAYO MAJI KITAMBO TU NA HATUJASIKIA HAYO USEMAYO,,,,kunywa maji ya mwingira basi au ya kakobe ndo mazuri kwako,,,maana Una ajenda binafsi bila shaka

Hapa hakuna kuharibu biashara ya mtu, ila kuna agenda ya kumlinda mlaji dhidi ya bidhaa zilizo chini ya viwango. Wewe kama unaona yanakufaa sema yanakufaa na yule ambaye anaona yaha hitilafu aseme yana hitilafu ili yarekebishwe ili biashara na afya za walaji ziende sawa. Usivunje kioo chako bali toa tongotongo zako zinazoonekana kwenye kioo. Maji Uhai yana chumvi nyingi sana, tena ukiyanywa ya mato (not chilled) unaweza kujisikia kichefuchefu na hata kutapika na moyo kwenda mbiyo, mimi binafsi na familia yangu tumeyaacha kuyanywa hadi pale yatakaporekeshishwa, kwasasa ninayapigia mswaki tu nikiwa safarini mikoani.
 
ACHA UNAFIKI NAKUHARIBU BIASHARA ZA WATU WW,,,,WATU TUMEANZA KUNYWA HAYO MAJI KITAMBO TU NA HATUJASIKIA HAYO USEMAYO,,,,kunywa maji ya mwingira basi au ya kakobe ndo mazuri kwako,,,maana Una ajenda binafsi bila shaka

Ni heri ukasikia wasemayo wenzio, sii rahisi mtu kuanza ugomvi na Bakhressa, imeongelewa bidhaa.

Ongezeni umakini kwenye ubora wa bidhaa zenu.
 
Kati ya maji ambayo sijawahi yapenda ni haya na Maji Africa. Haya maji ya life wakati mwingine hutoa harufu ya Kemikali za ajabu.
 
Utadhàni kuwa yamechotwa baharini, maji ya kunywa ya Uhai yana ladha ya chumvi nyingi isiyofaa kwa kunywa na kutuliza kiu
TFDA na tbs mko wapi?

Ndo madini chumvi yenyewe hayo, muhimu kwa afya yako kijana.
 
Hapa hakuna kuharibu biashara ya mtu, ila kuna agenda ya kumlinda mlaji dhidi ya bidhaa zilizo chini ya viwango. Wewe kama unaona yanakufaa sema yanakufaa na yule ambaye anaona yaha hitilafu aseme yana hitilafu ili yarekebishwe ili biashara na afya za walaji ziende sawa. Usivunje kioo chako bali toa tongotongo zako zinazoonekana kwenye kioo. Maji Uhai yana chumvi nyingi sana, tena ukiyanywa ya mato (not chilled) unaweza kujisikia kichefuchefu na hata kutapika na moyo kwenda mbiyo, mimi binafsi na familia yangu tumeyaacha kuyanywa hadi pale yatakaporekeshishwa, kwasasa ninayapigia mswaki tu nikiwa safarini mikoani.
Huu ni ukweli mtupu yaliwa kunitokea haya uliyosema na huwa siyatumii tena
 
Ukiona maji hayakufai kunywa mengine kampuni za maji zipi nyingi mnooo

Pole pole watu watafika uko, lakini kwa sasa ngoja tufanye kazi ya whistle blower (mpuliza kipenga) kwa wananchi ili kuwalinda dhidi ya madhara ya kula bidhaa mbovu bila hiari yao. Si unafahamu kuwa chumvi nyingi ina madhara kwenye moyo na mafigo ya mlaji?
 
Kuna brand mpya ya uhai imeandikwa alkaline water, hayo wankunywa wale walikwisha yazoea au wanataka kuyazoea na wanajua faida yake
 
Tatizo hujawahi kunywa maji ya chupa ndio maana yanakupa tabu. Kwa hapa Dar huwa sinywi maji mengine zaidi ya Uhai.
 
Kama ya kununua una mashaka nayo si uchemshe...acha kuharibu biashara za watu....
 
Back
Top Bottom