Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,640
ACHA UNAFIKI NAKUHARIBU BIASHARA ZA WATU WW,,,,WATU TUMEANZA KUNYWA HAYO MAJI KITAMBO TU NA HATUJASIKIA HAYO USEMAYO,,,,kunywa maji ya mwingira basi au ya kakobe ndo mazuri kwako,,,maana Una ajenda binafsi bila shaka
Tanzania Tanzania mbona unaongezeka umri tangu mwaka 1961-2015 watu wako hawabadiliki mawazo,tunakuwa na mawazo yaleyale kwanini jamani,sasa wewe unatetea kwamba tangu maji uliokunywa mwaka jana ndo bado ypo mpaka sasa?.Watu wanataka faida tu wala cio ubora.